mwanzo wetu
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 1,581
- 462
Je mwanamke anaetumia njia za uzazi wa mpango mfano kijiti,ni sahihi kuingia kwenye siku zake kila mwezi japo damu inatoka kidogo au tatizoNi kawaida mkuu.
NormalHabari wakuu,
Mimi nina mwanamke ambae nahisi moyoni anafaa kuanza familia na mimi.
Ila anatatizo la kuingia blidi siku 7 Hadi nane je! Huu ni ugonjwa au nini?
Maana mm nahis tofauti labuda huenda anaumwa magonjwa mengine, naombeni ushauli wa kitalamu je hili swala likoje?
Nawasilisha wakuu.