Mwamgunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 247
- 48
Poleni na majukumu waungwana, mwanangu kwa sasa ana miezi sita. Ila amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kutokewa na vipele vinavyotunga usaha, wakati mwingine vibalango. Naombeni ushauri au tiba mbadala kwa wenye uzoefu na watoto coz kwa upande wangu huyu ni mwanangu wa kwanza hivyo sina ujuzi wa kutosha juu ya matatizo kama haya. NITASHUKURU NA KUFURAHI KWA MCHANGO WENU NA USHAURI, MUNGU AWABARIKI NA KUWATIA NGUVU!