OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Mimi niliacha kunyonya mwenyewe nikiwa na miezi mitatu tu (hii ni kulingana na maza amenambia) na nina akili sana tena sana. Muhimu zingatia chakula kwa mke mambo mengine yatajiseti usiwaze sana mkuu.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app