Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,215
Salaam wana JF.
Poleni na majukumu kama kichwa cha uzi kinavyo someka.
Nina mtoto mwenye umri wa mwaka na miezi minne hapati usingizi ikifika saa nne za usiku ndio michezo inazidi na anataka kampani mwanzoni tulihisi ni kawaida ila siku zivyosonga anaonekana tabia imekomaa
Mimi na wife wote huamkia kazini na kurejea home jioni tukifika ndio kama amewekewe ufunguo ni michezo hadi saa saba hata ufanyeje ukimzuia ni kulii tukiuliza kama amelala mchana wanajibu kalala kidogo
sasa naona hadi mwili umeanza kupungua .nishaulini wanye uzoefu wa hili au lililo wahi kuwatokea
Thanks in advance
Poleni na majukumu kama kichwa cha uzi kinavyo someka.
Nina mtoto mwenye umri wa mwaka na miezi minne hapati usingizi ikifika saa nne za usiku ndio michezo inazidi na anataka kampani mwanzoni tulihisi ni kawaida ila siku zivyosonga anaonekana tabia imekomaa
Mimi na wife wote huamkia kazini na kurejea home jioni tukifika ndio kama amewekewe ufunguo ni michezo hadi saa saba hata ufanyeje ukimzuia ni kulii tukiuliza kama amelala mchana wanajibu kalala kidogo
sasa naona hadi mwili umeanza kupungua .nishaulini wanye uzoefu wa hili au lililo wahi kuwatokea
Thanks in advance