Msaada: Mwanaume ninayeishi naye haoneshi kunipenda na hataki tuachane

Msaada: Mwanaume ninayeishi naye haoneshi kunipenda na hataki tuachane

Honestly tofauti yangu na mtoa mada kitu alikuwa anajua kusema ni 'Nakupenda', Ila kwingine kote ni Sifuri kubwa mbili, Nikitaka kuondoka hataki halafu kubadilika habadiliki, nimempa 2nd chances zaidi ya 100 buh still ana rise the same same person.!! Ako ana enjoy zake burooook huko aliko.!![emoji4][emoji4]
Hahahahha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka juzi
Mi ninamchumba/mpenzi ambae hatuna muda mrefu tuko katika relation nadhani kama miezi kadhaa tu hivi haifiki 6 sasa huyu mwenzangu kama simuelewi hivi sijui nimaumbile, mazoea, hanipendi yaani sielewi.

Yaani kwake ningumi kuniita mpenzi, yaani majina tu ya kimapenzi ningumu akijitahidi sana ananiita MY ajabu sasa mkiwa kitandani tena awe amedindisha nitaitwa majina yote mpenzi, honey, mke hata neno nakupenda nitaitwa lakini katika hali ya kawaida ni ngumu kuniambia ananipenda au kanimiss mimi hua namwambia nakupenda na yeye ndio anajibu nakupenda pia.

Nilishakaa nikiongea nae kesho yake akajitahidi baada ya siku mbili akarudia tena kuniita ndugu yangu najiuliza swali labda mazoea au muoga au hana hisia na mimi???

Mwaka jana

I hope mko poa guys

Naitaji ushauri hapa serious kabisa

Mimi ni mwanamke nina miaka 30 nina mchumba ambaye wazazi walishatupa ruhusa ya kuishi pamoja

Mwaka 2016 nilipata kazi ya muda mfupi katika kampuni fulani nilifanya kazi ndani ya miezi minne nilikutana na kaka ana 33 kwa a

Huyu Kaka nilimpenda sana alikuwa mtu fulan mpole hana Mambo ya ajabu ukweli nilitokea tu kuvutiwa nae. Nikafanya juhudi tukawa marafiki wa karibu, kusaidiana mambo mbalimbali haikupita muda tukawa tumeanza mahusiano ya kimapenzi

Uzuri jamaa alikuwa hayupo katika mahusiano serious, alikua na mwanamke ambae walikua hawafahamiani aliunganishiwa na jamaa tu so wakawa na mapenzi ya kwenye simu

Baada ya miezi 6 jamaa akanipeleka kwao kunitambulisha ilikua Desemba mwaka jana, Februaru mwaka huu alihamishwa mkoa mwingine kikazi nami nikaacha pale nikaanza biashara zangu binafsi. March akaja nyumbani kwetu kujitambulisha, Juni kupanga na kutoa mahari.

Oktoba Wazazi pande zote mbili walikutana kupanga mambo ya ndoa, wazazi wake wakaomba tuchukuane tu kwa sasa hawana uwezo tutafunga ndoa mwaka kesho. Hii ni sawa kwa jamii ya wasukuma wa kijijin kwani huamini ukishamtolea mahari mwanamke tayari wanakuja kumchukua. Familia yangu ikakubali

Kilichonileta kwenu

Baada ya kukaa kiuchumba na jamaa nilikua nahisi hanipendi tangu kabla hajanipeleka kwao nikawa najiondoa kwake ajabu nikikaa nae nikimwambia tuachane hakubali kabisa anaweza hata jitupa chini akibembeleza nisimuache

Nikimuangalia ni mtu ambae haoneshi kama ananipenda anaweza kaa siku 1 au 2 bila kunipigia. Ninaweza pata shida kunisaidia akawa mzito mno. Ni mtu ambaye hajali unaumwa, umepata matatizo unaishi vipi haelewi

Mwanzo nilihisi labda anamahusiano mengine lakini nilifanya uchunguzi sikubaini hicho. Mi nampenda najikuta naumia nahitaji kupata attention yake, muda wake, nilishaongea nae sana. Ni mtu ambae hata kuniambia nakupenda au nimekumiss au kuniita tu mpenzi wangu ni ngumu labda muwe kitandani kapandwa na hisia anaweza fanya hivyo au muwe mna ugomvi anakubembeleza au ndio mmeelewana

Atafanya hivyo for 2 days then anarudi katika hali yake

Nilishaongea nae kama hanipendi nimeshamuomba aniache niumie badae nitazoea hataki. Kuna kipindi nilimwambia aniache tu atafute mwanamke anaempenda na nikamchunia kweli

Aliteseka sana alinitafutia washauri sio ndugu zake, rafiki zake na zangu. Nashindwa kuelewa nitaishije na huyu mtu jamani. Sielewi ni maumbile yake yuko hivi, makuzi au tu hanipendi!

Amekulia kijijini hasa tena hasa nashindwa kuelewa labda ndivyo alivyo. Nawaza labda yupo kwangu kimaisha tu sababu yeye ana kazi nzuri mshahara mkubwa lakini familia ya kwao inamuelemea ukoo mzima unamtegemea yeye

Mimi kipato changu kidogo kwake lakini nina maendeleo kidogo namzidi na ninafanya vitu vya msingi. Nahisi labda jamaa amefata maisha!

Wadau samahani kwa kuwachosha naombeni mawazo yenu
Safari ilianza kitambo
 
Huyo Jamaa yako ni kauzu.amekomaa kihisia na ni mzito wa kuonesha hisia zake.Cha kufanya.Tuliza kiranga umri umeenda huo kwanza una bahati kukuta akiwa hivo.Huyo atakuja kuoa mke wa pili ili kukuacha hilo sahau kabisa.Kubaliana na hilo
 
I hope mko poa guys

Naitaji ushauri hapa serious kabisa

Mimi ni mwanamke nina miaka 30 nina mchumba ambaye wazazi walishatupa ruhusa ya kuishi pamoja

Mwaka 2016 nilipata kazi ya muda mfupi katika kampuni fulani nilifanya kazi ndani ya miezi minne nilikutana na kaka ana 33 kwa a

Huyu Kaka nilimpenda sana alikuwa mtu fulan mpole hana Mambo ya ajabu ukweli nilitokea tu kuvutiwa nae. Nikafanya juhudi tukawa marafiki wa karibu, kusaidiana mambo mbalimbali haikupita muda tukawa tumeanza mahusiano ya kimapenzi

Uzuri jamaa alikuwa hayupo katika mahusiano serious, alikua na mwanamke ambae walikua hawafahamiani aliunganishiwa na jamaa tu so wakawa na mapenzi ya kwenye simu

Baada ya miezi 6 jamaa akanipeleka kwao kunitambulisha ilikua Desemba mwaka jana, Februaru mwaka huu alihamishwa mkoa mwingine kikazi nami nikaacha pale nikaanza biashara zangu binafsi. March akaja nyumbani kwetu kujitambulisha, Juni kupanga na kutoa mahari.

Oktoba Wazazi pande zote mbili walikutana kupanga mambo ya ndoa, wazazi wake wakaomba tuchukuane tu kwa sasa hawana uwezo tutafunga ndoa mwaka kesho. Hii ni sawa kwa jamii ya wasukuma wa kijijin kwani huamini ukishamtolea mahari mwanamke tayari wanakuja kumchukua. Familia yangu ikakubali

Kilichonileta kwenu

Baada ya kukaa kiuchumba na jamaa nilikua nahisi hanipendi tangu kabla hajanipeleka kwao nikawa najiondoa kwake ajabu nikikaa nae nikimwambia tuachane hakubali kabisa anaweza hata jitupa chini akibembeleza nisimuache

Nikimuangalia ni mtu ambae haoneshi kama ananipenda anaweza kaa siku 1 au 2 bila kunipigia. Ninaweza pata shida kunisaidia akawa mzito mno. Ni mtu ambaye hajali unaumwa, umepata matatizo unaishi vipi haelewi

Mwanzo nilihisi labda anamahusiano mengine lakini nilifanya uchunguzi sikubaini hicho. Mi nampenda najikuta naumia nahitaji kupata attention yake, muda wake, nilishaongea nae sana. Ni mtu ambae hata kuniambia nakupenda au nimekumiss au kuniita tu mpenzi wangu ni ngumu labda muwe kitandani kapandwa na hisia anaweza fanya hivyo au muwe mna ugomvi anakubembeleza au ndio mmeelewana

Atafanya hivyo for 2 days then anarudi katika hali yake

Nilishaongea nae kama hanipendi nimeshamuomba aniache niumie badae nitazoea hataki. Kuna kipindi nilimwambia aniache tu atafute mwanamke anaempenda na nikamchunia kweli

Aliteseka sana alinitafutia washauri sio ndugu zake, rafiki zake na zangu. Nashindwa kuelewa nitaishije na huyu mtu jamani. Sielewi ni maumbile yake yuko hivi, makuzi au tu hanipendi!

Amekulia kijijini hasa tena hasa nashindwa kuelewa labda ndivyo alivyo. Nawaza labda yupo kwangu kimaisha tu sababu yeye ana kazi nzuri mshahara mkubwa lakini familia ya kwao inamuelemea ukoo mzima unamtegemea yeye

Mimi kipato changu kidogo kwake lakini nina maendeleo kidogo namzidi na ninafanya vitu vya msingi. Nahisi labda jamaa amefata maisha!

Wadau samahani kwa kuwachosha naombeni mawazo yenu
Tafta Kitabu 5 love languages..
Yawezekana...yaonekana anakupenda kweli na we unampenda ila lugha yenu ya kuonyesha mapenzi iko tofauti...

Wewe labda kufanyiwa vitu vizuri kujuliwa hali ndo unapenda zaidi...yeye labda anapenda zaidi kushikwa shikwa esp kwny mchezo na maneno mazuri

Ili mapenzi yaendelee inabidi kumuonyesha mapenzi kwa style anayoelewa yeye...upo nyonyoo?

Na wewe mwambie vile vitu unapenda ili akufanyie...mapenzi yanajengwa hayatokei tuu
 
Mkuu si ungeandika tu kiswahili?
[emoji23][emoji23]
My sister i really never understood you pls,but from the little i understood, your man has problems in areas of helping you , knowing your state how you are doing daily, and aslo he is not romantic, and does not give you much attention or does not give you attention at all, and when you want to walk away from this relationship he begs you to stay,from my knowledge that i gained from studying emotional intelligence, i have an answer to your problems, and i can tell you what your man is doing and why he is doing it, here is the plain truth, HE HAS NO FEELING FOR YOU NEITHER DOES HE LOVE YOU!!!!!!!,thats the bitter truth, walk out of this thing as soon as you can, he is only misusing you and then he will just walk away and get the one he loves, there is no way i can fail to shower love, attention , care and be there to support a lady i TRULY LOVE, if the lady i love cries, i will be there to wipe her tears, i will order flowers delivered to her without her fore knowledge, i will buy chocolate and hind it under the pillow, which means she will find it jioniat that time, you know what i mean, wake up before her and prepare coffe and bring it to her bedside, on and on, sasa kaa mtu hata kukuambia i love you anaona shinda unasubiri nini, kwake my dear sister

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa umeolewa na msukuma halafu unataka uitwe sweet, baby, asali, laazeez, elhabeeb, na majina mengine romantic??

Tangu lini wasukuma watu washamba Tanzania hii wakawa romantic??

Anakupenda ila naturally wasukuma hawajui hayo mambo ya kupetipeti hususani kama huyo mumeo alokulia huko Magu mchunga ngo'ombe huyo!
I hope mko poa guys

Naitaji ushauri hapa serious kabisa

Mimi ni mwanamke nina miaka 30 nina mchumba ambaye wazazi walishatupa ruhusa ya kuishi pamoja

Mwaka 2016 nilipata kazi ya muda mfupi katika kampuni fulani nilifanya kazi ndani ya miezi minne nilikutana na kaka ana 33 kwa a

Huyu Kaka nilimpenda sana alikuwa mtu fulan mpole hana Mambo ya ajabu ukweli nilitokea tu kuvutiwa nae. Nikafanya juhudi tukawa marafiki wa karibu, kusaidiana mambo mbalimbali haikupita muda tukawa tumeanza mahusiano ya kimapenzi

Uzuri jamaa alikuwa hayupo katika mahusiano serious, alikua na mwanamke ambae walikua hawafahamiani aliunganishiwa na jamaa tu so wakawa na mapenzi ya kwenye simu

Baada ya miezi 6 jamaa akanipeleka kwao kunitambulisha ilikua Desemba mwaka jana, Februaru mwaka huu alihamishwa mkoa mwingine kikazi nami nikaacha pale nikaanza biashara zangu binafsi. March akaja nyumbani kwetu kujitambulisha, Juni kupanga na kutoa mahari.

Oktoba Wazazi pande zote mbili walikutana kupanga mambo ya ndoa, wazazi wake wakaomba tuchukuane tu kwa sasa hawana uwezo tutafunga ndoa mwaka kesho. Hii ni sawa kwa jamii ya wasukuma wa kijijin kwani huamini ukishamtolea mahari mwanamke tayari wanakuja kumchukua. Familia yangu ikakubali

Kilichonileta kwenu

Baada ya kukaa kiuchumba na jamaa nilikua nahisi hanipendi tangu kabla hajanipeleka kwao nikawa najiondoa kwake ajabu nikikaa nae nikimwambia tuachane hakubali kabisa anaweza hata jitupa chini akibembeleza nisimuache

Nikimuangalia ni mtu ambae haoneshi kama ananipenda anaweza kaa siku 1 au 2 bila kunipigia. Ninaweza pata shida kunisaidia akawa mzito mno. Ni mtu ambaye hajali unaumwa, umepata matatizo unaishi vipi haelewi

Mwanzo nilihisi labda anamahusiano mengine lakini nilifanya uchunguzi sikubaini hicho. Mi nampenda najikuta naumia nahitaji kupata attention yake, muda wake, nilishaongea nae sana. Ni mtu ambae hata kuniambia nakupenda au nimekumiss au kuniita tu mpenzi wangu ni ngumu labda muwe kitandani kapandwa na hisia anaweza fanya hivyo au muwe mna ugomvi anakubembeleza au ndio mmeelewana

Atafanya hivyo for 2 days then anarudi katika hali yake

Nilishaongea nae kama hanipendi nimeshamuomba aniache niumie badae nitazoea hataki. Kuna kipindi nilimwambia aniache tu atafute mwanamke anaempenda na nikamchunia kweli

Aliteseka sana alinitafutia washauri sio ndugu zake, rafiki zake na zangu. Nashindwa kuelewa nitaishije na huyu mtu jamani. Sielewi ni maumbile yake yuko hivi, makuzi au tu hanipendi!

Amekulia kijijini hasa tena hasa nashindwa kuelewa labda ndivyo alivyo. Nawaza labda yupo kwangu kimaisha tu sababu yeye ana kazi nzuri mshahara mkubwa lakini familia ya kwao inamuelemea ukoo mzima unamtegemea yeye

Mimi kipato changu kidogo kwake lakini nina maendeleo kidogo namzidi na ninafanya vitu vya msingi. Nahisi labda jamaa amefata maisha!

Wadau samahani kwa kuwachosha naombeni mawazo yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila dada punguza kuwa na expectations kubwa, huyo jamaa anakupenda, sema tu hajui jinsi ya kuuonesha upendo wake kwako. Hivyo basi, tumia nguvu ya kike kumbadilisha. Haya mambo ya birthday wengine huwa hatufagilii, ni asili na malezi yetu.
Na hicho kipato cha mshikaji mbona cha kawaida sana, maana hiyo figure uliyoitaja ukitoa makorokocho ya bodi ya mkopo, income tax, na mifuko ya jamii hapo unakuta anachukua 1.3, ambazo hata kuhonga michepuko hazitoshi [emoji23][emoji23][emoji23].
Tulia myajenge maisha, na jaribu kuongea naye, ukiongea nje nje hatajua.
Mambo mazuri hayataki haraka, na kama unataka kufungua biashara si unamshirikisha with a detailed plan na estimate ya gharama na umuhimu wa wewe kuwa na kazi . Hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza kukataa.
Ukiachana na naye unaweza kutana na makubwa huku nje, kuna mwenzio anakuta KY na Condom kwenye gari kila siku( and possibly anakuwaga posted instagram my lovely wife na birthday party ya maana tu)
Na kingine nilichokinote jamaa yako hana financial skills( hajui kumanage kipato chake) Ila hilo linafundishika.
# ukiishi na hizo doubts hamtafika mbali.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
KUNA ISSUE NYING SANA HAPA!!

but kubwa kuliko yote is
HAUNA FURAHA NA HAYA MAHUSIANO!!

amua kuendelea at your risk!
 
Back
Top Bottom