Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

X_INTELLIGENCE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
10,400
Reaction score
14,339
Nimekaa nikafikilia maisha yamenipiga, kazi niliyokuwa nayo haikidhi kabisa mahitaji yangu ya kila siku, nina mke, nina mtoto, ninao ndugu wanao nitegemea, baba, mama na wadogo zangu mbaya zaidi mimi ndie kaka mkubwa wa familia, najiona kabisa nimeanguka, najiona napoteza uelekeo kila kukicha, nimekuja humu najua kuna watu wa hadhi na kariba tofauti tofauti, maana waswahili husema "mficha maradhi kifo humuumbua"

Nimehangaika kutafuta kazi, ni kweli nipo kwenye kazi ambayo mshahala ni 250k baada ya makato, huo mshahala unanifanya niishi kwa madeni hata kabla sijaupokea unakuwa teyari umeshaisha, sasa ndugu zangu kwa umri wangu huu 25+ najiona kabisa ndoto zangu hazitotimia, nikiwa na akili timamu ninaomba kwa yeyote mwenye connection ya ajira, ata ya ULinzi, na nyinginezo kwenye nchi za kiarabu haswa Doha, Qatar anisaidie pengine huko maslahi yanaweza kuongezeka.

Nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao nakutana na maagency ambao wapo nchi za jirani inakuwa ngumu kwangu kuwafikia kwani wengi wao wapo Kenya ama Uganda.

Ndugu zanguni ni matumaini yangu kilio changu kiapatiwa ufumbuzi.

Elimu yangu ni ya kidato cha nne, sijasoma kihivyo ila ujinga wa kuelewa kingereza kidogo nimeuondoa hivyo ninaweza kingereza japo si sana.

VILE VILE mimi ni dereva wa magari...mwenye leseni yenye daraja A, A2, B, C1, C2, C3, D, E​

1623822537467.png

ANGALIZO

lengo la huu uzi lilikuwa kupeanda connection za ajira nje ya nchi lakini kumejitokeza watu ambao sio waamini wanao onyesha nia ya kumsaidia mtu kumbe lengo ni kufanya utapeli.

usitoe pesa kwa mtu usie mfahamu japo ni kweli kuwa kwa asilimia 75 kampuni nyingi ni lazima ulipie gharama ili wakusaidie.

kabla hujatoa pesa kuna wakala wa serikali anae jihusisha na maswala ya ajira kampuni zote hizo zipo chini ya kitengo hicho.
hivyo ni bora kwanza ukaenda kujiridhisha TAESA kuhusu kampuni inato taka kukufanyia mpango wa safari.

Screenshot_20240125-093147_1.jpg

huyo mtu hapo juu ambae ni member mwenye jina kubwa tu humu JAMIIFORUMS alitaka kunitapeli nisingekuwa najua michongo ya mataperi hivi sasa Ningekuwa nalia.

usitoe pesa bila kuwa na uhakika wa ajira. viza kwanza pesa baadae msije kusema siku waambia...!​
 
Kila la kheri sheikh. Chunga sana mazoea na wake za waarabu. Jiepushe usiweke mazoea hata kidogo. Maana huwa wanaoenda mikuyenge ya afrika. Tafadhwari kaa nao mbali.
asante ndugu...ila mimi ninachotafuta ni ajira tu...kama unayo connection ebu niunganishe...ilo la kujichunga hata hapa bongo nipo nalo makini sana
 
asante ndugu...ila mimi ninachotafuta ni ajira tu...kama unayo connection ebu niunganishe...ilo la kujichunga hata hapa bongo nipo nalo makini sana
Nina ndugu yangu alikuwa anaunganisha watu kwenda huko uarabuni kufanya hizi kazi.

Ila ni kazi za hatari kwasababu waarabu wengi ni watu wenye roho mbaya sana. Na kazi nyingi kwa wanaume huko uarabuni zinafanywa na wahindi, pakistanis etc

Sasa unaweza usibaguliwe na mwarabu lakini ukabaguliwa na wahindi.

Utaratibu wa kazi huko ni kama wa kampuni za ulinzi au usafi zinavyofanya kazi hapa kwetu


Maana yake kuna makampuni ndio yanawachukua, then ndio yanawakodisha kwa maboss.

Challenge nyingine kubwa ni ukiajiriwa na kampuni ambayo wao wanachoangalia ni pesa. Wakishakupeleka nje, passport yako wameshachukua, hata boss aliyekuchukua akutese vipi wao wanajifanya hawaoni ilimradi wanalipwa.

Kazi nyingi huko ni za mashambani, ulinzi na vibarua vya ujenzi.
 
Nina ndugu yangu alikuwa anaunganisha watu kwenda huko uarabuni kufanya hizi kazi.

Ila ni kazi za hatari kwasababu waarabu wengi ni watu wenye roho mbaya sana. Na kazi nyingi kwa wanaume huko uarabuni zinafanywa na wahindi, pakistanis etc

Sasa unaweza usibaguliwe na mwarabu lakini ukabaguliwa na wahindi.

Utaratibu wa kazi huko ni kama wa kampuni za ulinzi au usafi zinavyofanya kazi hapa kwetu


Maana yake kuna makampuni ndio yanawachukua, then ndio yanawakodisha kwa maboss.

Challenge nyingine kubwa ni ukiajiriwa na kampuni ambayo wao wanachoangalia ni pesa. Wakishakupeleka nje, passport yako wameshachukua, hata boss aliyekuchukua akutese vipi wao wanajifanya hawaoni ilimradi wanalipwa.

Kazi nyingi huko ni za mashambani, ulinzi na vibarua vya ujenzi.
Usimkatishe mwenzako tamaa, mwache ajaribu kwani kila kazi ina mazuri na challenges zake.
 
Nimekaa nikafikilia maisha yamenipiga, kazi niliyokuwa nayo haikidhi kabisa mahitaji yangu ya kila siku, nina mke, nina mtoto, ninao ndugu wanao nitegemea, baba, mama na wadogo zangu mbaya zaidi mimi ndie kaka mkubwa wa familia, najiona kabisa nimeanguka, najiona napoteza uelekeo kila kukicha, nimekuja humu najua kuna watu wa hadhi na kariba tofauti tofauti, maana waswahili husema "mficha maradhi kifo humuumbua"

Nimehangaika kutafuta kazi, ni kweli nipo kwenye kazi ambayo mshahala ni 250k baada ya makato, huo mshahala unanifanya niishi kwa madeni hata kabla sijaupokea unakuwa teyari umeshaisha, sasa ndugu zangu kwa umri wangu huu 25+ najiona kabisa ndoto zangu hazitotimia, nikiwa na akili timamu ninaomba kwa yeyote mwenye connection ya ajira, ata ya ULinzi, na nyinginezo kwenye nchi za kiarabu haswa Doha, Qatar anisaidie pengine huko maslahi yanaweza kuongezeka.

Nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao nakutana na maagency ambao wapo nchi za jirani inakuwa ngumu kwangu kuwafikia kwani wengi wao wapo Kenya ama Uganda.

Ndugu zanguni ni matumaini yangu kilio changu kiapatiwa ufumbuzi.

Elimu yangu ni ya kidato cha nne, sijasoma kihivyo ila ujinga wa kuelewa kingereza kidogo nimeuondoa hivyo ninaweza kingereza japo si sana.

Job at DHL Express - Dubai, Tele-sales Manager


Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Nina ndugu yangu alikuwa anaunganisha watu kwenda huko uarabuni kufanya hizi kazi.

Ila ni kazi za hatari kwasababu waarabu wengi ni watu wenye roho mbaya sana. Na kazi nyingi kwa wanaume huko uarabuni zinafanywa na wahindi, pakistanis etc

Sasa unaweza usibaguliwe na mwarabu lakini ukabaguliwa na wahindi.

Utaratibu wa kazi huko ni kama wa kampuni za ulinzi au usafi zinavyofanya kazi hapa kwetu


Maana yake kuna makampuni ndio yanawachukua, then ndio yanawakodisha kwa maboss.

Challenge nyingine kubwa ni ukiajiriwa na kampuni ambayo wao wanachoangalia ni pesa. Wakishakupeleka nje, passport yako wameshachukua, hata boss aliyekuchukua akutese vipi wao wanajifanya hawaoni ilimradi wanalipwa.

Kazi nyingi huko ni za mashambani, ulinzi na vibarua vya ujenzi.
Niunganishe kaka...kama kuna mtu unamjua...ata na uyo ndugu yako...nizungumze nae...pengine nipata pa kuanzia...sikufichi ata hapa tz nafanya kazi ya ulinzi...sasa nimesikia kidogo huko kwenye nchi za kiarabu kidogo mshahala upo juu...
 
Nimekaa nikafikilia maisha yamenipiga, kazi niliyokuwa nayo haikidhi kabisa mahitaji yangu ya kila siku, nina mke, nina mtoto, ninao ndugu wanao nitegemea, baba, mama na wadogo zangu mbaya zaidi mimi ndie kaka mkubwa wa familia, najiona kabisa nimeanguka, najiona napoteza uelekeo kila kukicha, nimekuja humu najua kuna watu wa hadhi na kariba tofauti tofauti, maana waswahili husema "mficha maradhi kifo humuumbua"

Nimehangaika kutafuta kazi, ni kweli nipo kwenye kazi ambayo mshahala ni 250k baada ya makato, huo mshahala unanifanya niishi kwa madeni hata kabla sijaupokea unakuwa teyari umeshaisha, sasa ndugu zangu kwa umri wangu huu 25+ najiona kabisa ndoto zangu hazitotimia, nikiwa na akili timamu ninaomba kwa yeyote mwenye connection ya ajira, ata ya ULinzi, na nyinginezo kwenye nchi za kiarabu haswa Doha, Qatar anisaidie pengine huko maslahi yanaweza kuongezeka.

Nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao nakutana na maagency ambao wapo nchi za jirani inakuwa ngumu kwangu kuwafikia kwani wengi wao wapo Kenya ama Uganda.

Ndugu zanguni ni matumaini yangu kilio changu kiapatiwa ufumbuzi.

Elimu yangu ni ya kidato cha nne, sijasoma kihivyo ila ujinga wa kuelewa kingereza kidogo nimeuondoa hivyo ninaweza kingereza japo si sana.

Job at Nakilat - Doha, Administrative Assistant - Transport


Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Nimekaa nikafikilia maisha yamenipiga, kazi niliyokuwa nayo haikidhi kabisa mahitaji yangu ya kila siku, nina mke, nina mtoto, ninao ndugu wanao nitegemea, baba, mama na wadogo zangu mbaya zaidi mimi ndie kaka mkubwa wa familia, najiona kabisa nimeanguka, najiona napoteza uelekeo kila kukicha, nimekuja humu najua kuna watu wa hadhi na kariba tofauti tofauti, maana waswahili husema "mficha maradhi kifo humuumbua"

Nimehangaika kutafuta kazi, ni kweli nipo kwenye kazi ambayo mshahala ni 250k baada ya makato, huo mshahala unanifanya niishi kwa madeni hata kabla sijaupokea unakuwa teyari umeshaisha, sasa ndugu zangu kwa umri wangu huu 25+ najiona kabisa ndoto zangu hazitotimia, nikiwa na akili timamu ninaomba kwa yeyote mwenye connection ya ajira, ata ya ULinzi, na nyinginezo kwenye nchi za kiarabu haswa Doha, Qatar anisaidie pengine huko maslahi yanaweza kuongezeka.

Nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao nakutana na maagency ambao wapo nchi za jirani inakuwa ngumu kwangu kuwafikia kwani wengi wao wapo Kenya ama Uganda.

Ndugu zanguni ni matumaini yangu kilio changu kiapatiwa ufumbuzi.

Elimu yangu ni ya kidato cha nne, sijasoma kihivyo ila ujinga wa kuelewa kingereza kidogo nimeuondoa hivyo ninaweza kingereza japo si sana.

Job at Pipecare Group - Dubai, Personal Assistant


Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom