Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Mkuu Prince Mhando nimepitia uzi mzima page zote 18 watu wamekupa msaada wa kila aina ila bado unasema UNATAFUTA, hii nimegundua sababu hauna kitu halafu unataka msaada wa kwenda nje hii ni ngumu sana mkuu wangu.