Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
huo ndio ukweli wenyewe. ngoja nitafute pesaMkuu Prince Mhando nimepitia uzi mzima page zote 18 watu wamekupa msaada wa kila aina ila bado unasema UNATAFUTA, hii nimegundua sababu hauna kitu halafu unataka msaada wa kwenda nje hii ni ngumu sana mkuu wangu.
Naomba contact yako inbox mkuuMkataba unaanza na miaka miwili ila Kuna option ya miaka tano ni hiyari kusign kila baada ya miaka miwili unapewa tiketi ya kwenda na kurudi
Kabisa kabisa.huo ndio ukweli wenyewe. ngoja nitafute pesa
Siyo inji ni NchiInji za Arabuni nasikia tunaonekana masokwe mkuu badili wazo lako mkuu uangalie inji nyingine
Pesa kiasi gani inatakiwa ili mtu afanikiwe kuindoka?huo ndio ukweli wenyewe. ngoja nitafute pesa
Yaani Jamaa abadili mawazo yake, kwa sababu wew umesikia?Inji za Arabuni nasikia tunaonekana masokwe mkuu badili wazo lako mkuu uangalie inji nyingine
Ufuatilii matukio embicile! Kusikia maana yake nimesikiliza shuhuda za watu walifanyiwa unyama huko arabuniYaani Jamaa abadili mawazo yake, kwa sababu wew umesikia?
Sawa mkuuAlafu ubaguzi upo duniani kote ni jinsi gani wewe mwenyewe tu utajiandaa kupambana na iyo changamoto kwenye izo nchi za watu weupe kimsingi kama mipango iliyokupeleka uko inaenda vizuri hayo mambo mengine ni ya kupambana nayo tu sabab ni ya kupita tu
Sio Siyo ni SioSiyo inji ni Nchi
At least uwe na na Dola kuanzia 200 unaweza pata connection ya canada au swedeni kwa mwezi February uwe na passport na hela ya visaPesa kiasi gani inatakiwa ili mtu afanikiwe kuindoka?
Mkuu hiyo mimi ninayo mbonaAt least uwe na na Dola kuanzia 200 unaweza pata connection ya canada au swedeni kwa mwezi February uwe na passport na hela ya visa
Jifunze kiswahili,Sio Siyo ni Sio
Tusaidie taarifa za kina mkuu tujue pakuanzia tukishakuwa na hivyo ulivyotaja.At least uwe na na Dola kuanzia 200 unaweza pata connection ya canada au swedeni kwa mwezi February uwe na passport na hela ya visa
We kweli Head KilazaJifunze kiswahili,
Siyo [emoji3581]
Sio [emoji777]
Ukishakua navyo nitafte nikupe mawasiliano uje ofisiniTusaidie taarifa za kina mkuu tujue pakuanzia tukishakuwa na hivyo ulivyotaja.
Mimi ninayo hiyo dola 200, passport pia ipo na hela ya visa ipo. Nipe mwongozoUkishakua navyo nitafte nikupe mawasiliano uje ofisini
Una professional gan?Mimi ninayo hiyo dola 200, passport pia ipo na hela ta visa ipo. Nipe mwongozo