Msaada mwenye kujua fedha zilizoisha muda zinapatikana wapi

hmkuwe

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
361
Reaction score
265
Nimekuwa nikipita maeneo kadhaa ya Dar na kuona fedha za Tanzania ambazo kwa sasa hazitumiki zikiuzwa. Na nimejaribu kuwauliza wanakozipata hawanipe majibu stahiki.

Sasa nimekuja kwenu wana jf mnipe taarifa wapi zinakopatikana
 
Nimekuwa nikipita maeneo kadhaa ya Dar na kuona fedha za Tanzania ambazo kwa sasa hazitumiki zikiuzwa. Na nimejaribu kuwauliza wanakozipata hawanipe majibu stahiki.

Sasa nimekuja kwenu wana jf mnipe taarifa wapi zinakopatikana
Za noti au coin? Kama noti me ninazo kibao mpk sh 50 ya noti ipo
 
Nataka za noti na coin,,,,ila za noti ndio sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…