Msaada: Mwenye kuzifahamu gari ndogo za mizigo inayoweza kubeba mzigo wa tani 2 mpaka 3

Msaada: Mwenye kuzifahamu gari ndogo za mizigo inayoweza kubeba mzigo wa tani 2 mpaka 3

IZENGOB

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
323
Reaction score
317
Wakuu habari za kazi nina shamba langu mahali baada ya mavuno, nina ndoto ya kununua gari ya mzigo isiyozidi tani 3 ambayo itaniingizia kipato kwa kubeba mazao ya wakulima na mazao yangu kupeleka sokoni.

Gari za mizigo sizijui mwenye kuzifahamu naomba msaada anitajie, hata kuweka picha na sifa zake karibuni.
 
Wakuu habari za kazi Nina shamba langu mahali baada ya mavuno,Nina ndoto ya kununua gari ya mzigo isiyozidi tani 3 ambayo itaniingizia kipato kwa kubeba mazao ya wakulima na mazao yangu kupeleka sokoni.Gari za mizigo sizijui mwenye kuzifahamu naomba msaada anitajie,hata kuweka picha na sifa zake karibuni.
Mitsubishi canter
 
Wakuu habari za kazi Nina shamba langu mahali baada ya mavuno,Nina ndoto ya kununua gari ya mzigo isiyozidi tani 3 ambayo itaniingizia kipato kwa kubeba mazao ya wakulima na mazao yangu kupeleka sokoni.Gari za mizigo sizijui mwenye kuzifahamu naomba msaada anitajie,hata kuweka picha na sifa zake karibuni.
Tafuta Mitsubishi Canter hutojuta
 
Back
Top Bottom