Msaada: Mwenye uelewa kuhusu uingizwaji na utoaji bidhaa nje ya nchi

Msaada: Mwenye uelewa kuhusu uingizwaji na utoaji bidhaa nje ya nchi

masagati

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
492
Reaction score
357
Habari wana JF,

Naomba msaada kujua taratibu ninazo takiwa kufanya ili niweze kuagiza mzigo wa matairi ya gari kutoka China. Zipo kampuni kama mbili ambazo nawasiliana nazo. Hapa nataka kujua kuhusu ubora unaotakiwa na ni kipi kinatakiwa kufanya kabla maana huwa tunaona mizigo ya watu ikichomwa moto.

Natanguliza shukrani
 
kuna hawa ndugu wa viwango wana maagent wao wa kufanya ukaguzi kabla bidhaa haijatoka country of origin,so hapo china ukinunua mzigo hakikisha unakagua na SGS au burea veritas then wanakupa cheti cha ubora ambacho kitakuja kudhibitishwa na hawa jamaa hapa bongo
 
Back
Top Bottom