Pole mkuu. sababu zinaweza kuwa kadhaa kulingana na dalili zako. Chunguza maji unayoogea kama ni salama, nenda muhimbili kapime mzio(allegy), acha kukaa kwenye shower ya bafuni kwa muda mrefu, tumia kilainishi ngozi kama una ngozi kavu.
Ukihitaji kilanishia ngozi itabidi ujue aina ya ngozi yako kama ni kavu au ya mafuta. Tatizo likiendelea au ushauri wa BURE, nipigie 0713-039875