Mullah omar
New Member
- Oct 2, 2015
- 4
- 1
Mimi ni HIV positive, lakini bado sijaanza kutumia dawa za ARV'S, na mwili wangu unawasha sana hasa wakati wa usiku.
Nini dawa ya kupunguza au kuondoa tatizo hilo la muwasho?
Nini dawa ya kupunguza au kuondoa tatizo hilo la muwasho?