Msaada: Mzigo kuchelewa baada ya kuagiza tangu Desemba 2019

Hawawezi kukubali utaambiwa usubiri muda uishe.

Muda wa nyongeza ukiisha unaweza kufungua dispute? , Muda wa awali huwa ni 60Days, na baada una ziada ya 15days. Je ukiongezewa 16 Days, zikiisha bado unaweza kufungua dispute baadata ya hiyo jumla ya siku 76?
 

Kwani hii ina athari zozote kwa parcel iliyofika na kudespatch Singapore?
 
Mm nilinunua mzigo wangu DUBAI 19-Desemba 2019.meli imefika 14-2-2020. Changamoto ilikua upanuzi w bandari tu. Siku zingine inakua poa tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…