Msaada na Ushauri biashara ya nafaka

litho

Member
Joined
Sep 13, 2013
Posts
6
Reaction score
1
Habari wako unajasiriamali naombeni ushauri juu ya hii biashara ya mchele haswa maeneo ya kuchukua kwa jumla, gharama zake na usafirishaji wake had dar nataka nifanye hii biashara ..mtaji wangu nataka nianzie na laki 8..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…