Msaada na ushauri : Nashindwa kurudi kwangu

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]asante sana mkuu.. Umenitia nguvu

Jr[emoji769]
 
Mzee baba, uliadimika kipindi hiki hadi nikajua wagonjwa wameongezeka hapo kwa Hospitali yako!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1]

Nipo mkuu ni mwendo wa nyungu tu hapa kwa kwenda mbele...

Tumeshauriwa tupige nyungu kwa sana maana hata tukipeleka sempo zetu kwa Mkemia mkuu majibu yatakuwa tofauti na tunavyotarajia...
 
Nishauri wayforwad mkuu.. Kelele zimezidi kijijini

Jr[emoji769]
Kilicho kukimbiza hakijaisha na sasa ndio kimepamba moto. Sangoma alikudanganya, usikute anatumika na mabeberu (siku hizi sangoma nao ni digitali).
Ushauri bora kabisa, Fanya maamuzi kama ya Chief Mkwawa ili uhesabiwe kama SHUJAA na wanakijiji watahifadhi ile box ya medulla oblangata ndani ya sanduku LA kioo pale makumbusho kwa ajili ya vizazi vijavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji848][emoji848][emoji848]natafakari.. Lakini nani kakwambia yote haya? Usilete tafsiri zako hapa... Intelijensia yangu ni kali sana... Usipende kunihoji hoji.. NITAKUPOTEZA... (alisikika mzee mmoja akimfokea mtu asiyemuona) HOFU...!

Jr[emoji769]
 
Mzee Kigogo anasema umekimbilia kisiwani.

Ila ukweli ni kwamba bora husirudi koz hata wanakijiji wenzako wamekuchoka
 
Mzee Kigogo anasema umekimbilia kisiwani.

Ila ukweli ni kwamba bora husirudi koz hata wanakijiji wenzako wamekuchoka
Tatizo naye anaongea sana amejuaje sasa niko huku

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…