Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #21
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]asante sana mkuu.. Umenitia nguvuMkuu ukisikiliza binadamu hutoweza kuishi kwa amani. Wewe nenda tu fanya kama vile hakuna kilichotokea. Kwa maana kila binadamu ana makandokando yake. Na pia amini kwamba hakuna anayekusaidia wewe kuishi. Na hicho ulichokifanya ni uamuzi wa maisha yako so long as hujamdhuru mtu.
Jr[emoji769]