Msaada na ushauri.

Msaada na ushauri.

Mwandwanga

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
3,059
Reaction score
1,572
Wadau wa Sheria katika jukwaa hili, Mimi ni Kijana niliye hitimu elimu ya kidato cha sita mwaka huu na kupata ufaulu wa daraja la pili kwa point 11. Nimechelewa kufanya maombi TCU na HESLB kwakuwa nilikuwa kujenga Taifa jkt,hivyo nimefanya application kwa haraka sana huku niki consider kozi niliyoipenda tangu nikiwa O'level ambayo ni LL.B na nimeijaza kwa vyuo vitatu ambavyo ni UD,MU na DM. Tatizo langu ni kwamba eti inatakiwa nichague vyuo vitano (nimechagua vyuo vitatu), lakini naomba ushauri kwa kozi nyingine nje ya sheria ambayo kwa mchepuo niliousoma naweza mudu (nimesoma HGL). NB: Sheria ipo damuni kiasi kwamba mpaka sasa nimenunua vitabu kama 4 kwa maandalizi.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1372409669296.jpg
    uploadfromtaptalk1372409669296.jpg
    80.4 KB · Views: 69
  • uploadfromtaptalk1372409713403.jpg
    uploadfromtaptalk1372409713403.jpg
    87.7 KB · Views: 70
Back
Top Bottom