Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha wametangaza WAP kwamba juni 15 wanafungua dirisha etyJune 15 dirisha linafunguliwa, kuwa tayari.
Nina uhakika na ninachosemaHahahaha wametangaza WAP kwamba juni 15 wanafungua dirisha ety
Umewapigia nacte simu ety OK poa let me wait and see kama maneno yako ni ya kweliNina uhakika na ninachosema
June 15 udahili unaanza, Kama hauamini piga simu NACTE kuulizia.
Unajua nn zaman dilisha lilikuwa mei 15 colona imealibu ratibaNina uhakika na ninachosema
June 15 udahili unaanza, Kama hauamini piga simu NACTE kuulizia.
Yes, taarifa waliotoa baada ya kuruhusu vyuo kufunguliwa ndo imeelekeza hivyo.Kw
Unajua nn zaman dilisha lilikuwa mei 15 colona imealibu ratiba
OK sawa asante best kwa kunipa taarifa hapa nikuandaa ela ya kuapply tuh wakifungua tuh nikuapply fastaYes, taarifa waliotoa baada ya kuruhusu vyuo kufunguliwa ndo imeelekeza hivyo.
Kuanzia June 15 maombi yanaanza kupokelewa.
Kila la kheriOK sawa asante best kwa kunipa taarifa hapa nikuandaa ela ya kuapply tuh wakifungua tuh nikuapply fasta
Umeipata taarifa ya NACTE iliyotolewa Leo kufungua dirisha la udahili?Jamani naomba mwenye kujua dirisha na kuomba vyuo NACTE kwa intake ya October linafunguliwa lini anijuze. Au mambo ya kufungua dirisha yaliisha?
Maneno yako ni ya kweli au laaah sasa iv dirisha liko open tuingie online tufanye applicationUmeipata taarifa ya NACTE iliyotolewa Leo kufungua dirisha la udahili?
Kama bado udahili unaanza leo June 15 hadi Septemba 15 Mwaka 2020.
Kazi kwako pamoja na wale wote ambao walikua wakisubiria taarifa hii.
Ni kweliManeno yako ni ya kweli au laaah sasa iv dirisha liko open tuingie online tufanye application
Fungua link hiiManeno yako ni ya kweli au laaah sasa iv dirisha liko open tuingie online tufanye application
OK ngoja nikuamini lakini ww coz gani unaenda kuapply ??Ni kweli
Cheki account za ITV walikua wanamuhoji mkurugenzi wa NACTE akitangaza kufunguliwa kwa udahili.
Wiki kadhaa nyuma nilikutaarifu ila naona bado hauamini.
Mambo ni maraisi sana tuna apply nacte kwa vyuo vya serikali tuna apply direct kama chuo ni cha private mfano cuhas BugandoNaomba kuuliza una Apply NACTE au kwenye chuo husika ...
Mbona chuo cha Utumishi wa umma magogoni wanaapply direct chuoni?Mambo ni
Mambo ni maraisi sana tuna apply nacte kwa vyuo vya serikali tuna apply direct kama chuo ni cha private mfano cuhas Bugando
Ndugu vyuo vya serikali unavyoapply kupitia nacte ni vya afya na elimu TU. Vingine vyote hata kama ni vya serikali unaapply kwenye websites za vyuo husika.Mbona chuo cha Utumishi wa umma magogoni wanaapply direct chuoni?
Hamna kitu mkuu hawajaweka new updateFungua link hii