Msaada: Naenda kutoa mahari kwa mtoto wa Kimbulu, naomba sifa zao

Msaada: Naenda kutoa mahari kwa mtoto wa Kimbulu, naomba sifa zao

Nipo Manyara hapa, nataka kutoa mahari kwa binti wa Kimbulu nisaidieni sifa zao kabla sijafanya maamuzi.

Niokoeni kijana wenu [emoji4][emoji4]
Nasikia wanasema ni wakarimu. Sijawahi thibitisha.
 
Nipo Manyara hapa, nataka kutoa mahari kwa binti wa Kimbulu nisaidieni sifa zao kabla sijafanya maamuzi.

Niokoeni kijana wenu [emoji4][emoji4]

Nipo hao huku karatu.

Wapo wa kumwaga, Sio wachoyo kutoa Unyumba kwao ni kawaida sana, ukiona anamuita mtu mjomba sijui kaka na hukumuoana siku ya harusi basi huyo ni mume mwenzio.

wana upuuzi mwingi sana, na wana ushirikina wa hatari, wanapenda kurithi mali hasa mwanaume kama sio wa ukanda wao, lazima wakufix tuu. ukitaka umpatie Oa ukae nae mbali hata Tabora au Pwani au Tanga. ukikaa nae Arusha, manyara lazime akupige Dole.
 
Unakwenda Kutoa Mahari Halafu Unaomba Tàbia
Nenda Katoe Miruzi Mingi Humpoteza Mbwa
 
Nipo Manyara hapa, nataka kutoa mahari kwa binti wa Kimbulu nisaidieni sifa zao kabla sijafanya maamuzi.

Niokoeni kijana wenu [emoji4][emoji4]

Wambulu Hata mahari sio muhimu ungeenda kuchukua tu na kupeleka home.​

Huyu kama uko mjini atakuwa mke wa mtaa mzima.​

 
Some hawana clit

Yes hii ndio shida, kuna mmoja nilivyo muona na wakati tupo faragha ni mambo mawili tofauti, haoni raha kabisa, akaniambia amenipa sababu nimemsumbua sana nikakojoa usiku na asubuhi basi tukaondoka
 
Back
Top Bottom