Msaada: Nafanya Mapenzi lakini sifiki kileleni

Ushawahi kutumia dawa za kuongeza nguvu?
Je, unapo tom..ba unapata hisia kwenye uume?

Sent using my Nokia Torch
Ndiyo mkuu. Kuna kipindi niliambiwa nina tatizo la uume kusinyaa sababu ya kuongezeka mwili. Nikapewa dawa za wiki 16.
Hisia nasikia kama kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi umekuwa ukitumia dozi kipindi hiki? Anyway, kula sana matunda pamoja na maji uwe unakunywa ya kutosha...hili tatizo lilishawahi nipata kiasi kwamba natumia muda mrefu kucheza mechi ila no output, na ilitokea baada ya kuumwa sana na kutumia madawa makali.
 
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Duuuh wewe ni mgonjwa wahi hospital haraka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tafuta Malaya kurumbembe anayetoa Hadi mkundu mjifungie mahali tuone shida ni wake zako au nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…