Msaada: Nafanyaje kupata Mkopo?

Joined
Nov 14, 2013
Posts
67
Reaction score
42
Nawezaje kupata mkopo benki kwa kutumia hati ya urithi naomba maelekezo, kwa mwenye uelewa
 
Una biashara, kuwa na dhamana tu si kigezo cha kukopeshwa.
Bank zina masharti magumu sana kwa mtu anayeanza kukopa, watakuuliza mtiririko wako wa pesa,bank statement nk. Hata hivyo tembelea bank iliyokaribu nayo kwa ushauri zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…