RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,432
Kumbuka Hana Akili za Kutosha na Hana Nguvu z Kusimama mwenyewe.. kamuone Dokta kama Utakuw Na Wasiwasi zaidiKadri anavyozidikukua naona nikimsimamisha mguu mmoja anasimamia vizur ila mwingne anaukunja,badala ya kusimamia kiganja cha mguu yeye analazimisha kusimamamia juu,,naombeni msaada,je kunauwezekano wakurudia hali ya kawaida au mpaka kunyooshwa hisptali.karibuni,Mods mnisaidie kui Update hii thread ikae vizuri..