TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,763
- 11,873
Lol................
Cha muhimu ukikutana naye mwoneshe kuwa unamwitaji, chukua mawasiliano yake, usiwe unampigia daily, atakuchoka.
kisha kama anaweka pozi mpotezee, nikiwa na maana ya kupunguza au kutata mawasiliano kulingana na jinsi anavyokuchukulia..
Ukimpotezea (kukata/kupunguza mawasiliano naye) usijenge bifu, wala usiwe unamkwepa pindi ikitokea mkakutana barabarani
Msalimie, mwoneshe uchangamfu wote, ila usizidishe. kama yuko interested atakuuliza mbona umekuwa kimya,
jifanye kuna maswala yamekufanya uwe bize, kisha mpe ahadi kuwa utampigia jioni au kesho yake..
Usimpigie kama ulivyo muahidi, hapa ataweza kupiga yeye akiona umekaa kimya sana.
Kama hayuko interested hatokuuliza kuhusu kupotea kwako. Hivyo achana naye.
kwenye simu usiongelee kabisa kuhusu kumtaka bali jadiliana naye mambo mengine tofauti...
Mcheki jinsi atakavyokuwa ana-react..
endelea hivyo mpaka pale utakapofanikiwa lengo lako..
Cha muhimu kuzingatia, hata siku moja usimuoneshe kumchukia au kukerwa na jinsi anavyokuchukulia kama hakutaki,
Usimnunie binti anayekupiga kibuti, utampa kichwa zaidi..
Hii mbinu inaweza isi-work kwako, ila jaribu... Kwangu inafanya kazi vizuri tu.
Cha muhimu ukikutana naye mwoneshe kuwa unamwitaji, chukua mawasiliano yake, usiwe unampigia daily, atakuchoka.
kisha kama anaweka pozi mpotezee, nikiwa na maana ya kupunguza au kutata mawasiliano kulingana na jinsi anavyokuchukulia..
Ukimpotezea (kukata/kupunguza mawasiliano naye) usijenge bifu, wala usiwe unamkwepa pindi ikitokea mkakutana barabarani
Msalimie, mwoneshe uchangamfu wote, ila usizidishe. kama yuko interested atakuuliza mbona umekuwa kimya,
jifanye kuna maswala yamekufanya uwe bize, kisha mpe ahadi kuwa utampigia jioni au kesho yake..
Usimpigie kama ulivyo muahidi, hapa ataweza kupiga yeye akiona umekaa kimya sana.
Kama hayuko interested hatokuuliza kuhusu kupotea kwako. Hivyo achana naye.
kwenye simu usiongelee kabisa kuhusu kumtaka bali jadiliana naye mambo mengine tofauti...
Mcheki jinsi atakavyokuwa ana-react..
endelea hivyo mpaka pale utakapofanikiwa lengo lako..
Cha muhimu kuzingatia, hata siku moja usimuoneshe kumchukia au kukerwa na jinsi anavyokuchukulia kama hakutaki,
Usimnunie binti anayekupiga kibuti, utampa kichwa zaidi..
Hii mbinu inaweza isi-work kwako, ila jaribu... Kwangu inafanya kazi vizuri tu.