for ten years utakuwa una na watoto wapo shule hujajua tu... hongerasitaki tena kuendelea...itaniharibia uanaume
Hapana fanyisha mazoezi vizoeanengoja nivumilie ndani ya siku 90 ...nione matokeo
Duuuhh miaka kumi[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
kweli kabisa cha kifanya acha puli, then kula vyakula asili kama mihogo ya kuchemsha, magimbi, karanga, tafuna vitunguu swaumu, pia vitunguu maji. hamu na stamina itarudi kitandani. pia fanya mazoezi kidogoni tamu kweli....ila ina madhara kitandani
Sasa wewe unashangaa miaka 10 mimi nimepiga puli tangu 1987 hadi 2003 nilipooa nikapunguza ila sidhani kama nimeacha, kwa kuwa nikiwa mbali na wife au mchepuka napiga puliDuuuhh miaka kumi[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Kataa kuwa mtumwa .Mindset yako wewe waweza kuicontroll.ikitokea nikawa na hamu ghafla nitafute mwanamke hapo hapo?
Daaahhhhhhhhh[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Sasa wewe unashangaa miaka 10 mimi nimepiga puli tangu 1987 hadi 2003 nilipooa nikapunguza ila sidhani kama nimeacha, kwa kuwa nikiwa mbali na wife au mchepuka napiga puli