Msaada: Nahisi kujichua kumeniathiri

Pole sanaa mkuu, ila nikisikia mtu ni mwanachama wa CHAPUTA nasikitika sanaa yaani mwanaume unaidanganya hata nafsi yako kwa kupiga pull aisee ni mojawapo ya mambo ya hovyooo kabisa na ya kipumbavu . Kama umeamua kuacha ngono acha sio kuonekana mgumu kumbe unajidangnya kwa mikono.
 
Ebu jipe moyo potezea mawazo ya kijinga jinga, acha kutamani mkono wako [emoji41][emoji41] kama vipi tukukate mkono hutofanya milele.
 
Naomba uweke hapa hapa picha nione hali ya kadushe kako kwa sasa kalivyo..then nitakushauri ufanyeje.

Nb . usiogope kuweka hapa picha wewe ni mgonjwa mods wataelewa. ,hakuna Dr anaweza kutoa dawa bila kuona. jf we dare to talk openly.
Mkuu hizo ni genye za mwendokasi
 
Mmmmh
Naomba uweke hapa hapa picha nione hali ya kadushe kako kwa sasa kalivyo..then nitakushauri ufanyeje.

Nb . usiogope kuweka hapa picha wewe ni mgonjwa mods wataelewa. ,hakuna Dr anaweza kutoa dawa bila kuona. jf we dare to talk openly.
 
Ofcoz uko vizur yaan hafu cha msingi ww punguza hizo trip za puli angalau kwa mda fulan ivy coz itafika siku utazoea na kuacha kabsa yaan
 
acha tu... ukipata hamu ya punyeto kaa karibu na mkeo mfanye yenu... ukiweza kukaa hivyo miezi miwili utakuwa umepona zaidi yangu maana mi mwenzio sina mke hivyo siachi..!!!
Tuko pamoja mkuu
 
Acha tabia ya kupenda kuangalia Picha za ngono mkuu, hio ndo chanzo cha tatzo
 
Ofcoz uko vizur yaan hafu cha msingi ww punguza hizo trip za puli angalau kwa mda fulan ivy coz itafika siku utazoea na kuacha kabsa yaan
Puli unapunguza tu ila kuacha ni ngum sana, mm naachaga hyo ktu km nikiwa nana uhakika mpnz wang nampata mda wote. Kuna zile nyege zikikishika unafanya tu, unajuta baadae
 
Unalibutua sana Mkuu, piga nyeto kwa Afya
 
Yaani kuta za vyumba vya watu huwa zinashuhudia mambo mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…