Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unataka kutoka South Africa nicheki wiki moja inakuwa tayari imefika Tanzania.Habari wakuu! Mwenye kujua website au page za watu wanao deal na kuagiza pikipiki nje anisaidie, nahitaji kuagiza Honda Adv ya 2021 View attachment 2507489
nikiwa na milioni 4 nikutafute unipe dude lolote la kibabe????(motorcycle).Kama unataka kutoka South Africa nicheki wiki moja inakuwa tayari imefika Tanzania.
Honda Crf 125, yamaha yz 125nikiwa na milioni 4 nikutafute unipe dude lolote la kibabe????(motorcycle).
Inakuja kwa usafiri ganiKama unataka kutoka South Africa nicheki wiki moja inakuwa tayari imefika Tanzania.
Nenda zanzibar hapo zimejaa za kutosha kwa wauzaji tofauti tofauti,huwa wanazitoa thailand na indonesia.kwa hiyo ya 2021 ya 150cc wanauza kuanzia 7,500,000 hapo bila ushuru wa bandarini n a usajili wa tra.Habari wakuu! Mwenye kujua website au page za watu wanao deal na kuagiza pikipiki nje anisaidie, nahitaji kuagiza Honda Adv ya 2021
View attachment 2507489
GariInakuja kwa usafiri gani
Honda Adventure (Adv) ni 10m+ kununua bila usafiri mpaka Tanzania. Zanzibar zipo Honda Click ndio hizo bei za 7mNenda zanzibar hapo zimejaa za kutosha kwa wauzaji tofauti tofauti,huwa wanazitoa thailand na indonesia.kwa hiyo ya 2021 ya 150cc wanauza kuanzia 7,500,000 hapo bila ushuru wa bandarini n a usajili wa tra.
Nimeongea kitu nachofahamuHonda Adventure (Adv) ni 10m+ kununua bila usafiri mpaka Tanzania. Zanzibar zipo Honda Click ndio hizo bei za 7m
chukua hiiHabari wakuu! Mwenye kujua website au page za watu wanao deal na kuagiza pikipiki nje anisaidie, nahitaji kuagiza Honda Adv ya 2021
View attachment 2507489
Bado ipo sokonichukua hii View attachment 2515924
Mkuu naomba nisaidie hizo namba mwishoni mwa wiki hii niruke huko Z'bar
digxam.co
Milion nne vi piki piki vya cc 125Honda Crf 125, yamaha yz 125
CBR anzia 6mMilion nne vi piki piki vya cc 125
Si walahu hata Honda CBR600 ama
Mkuu,Nimeongea kitu nachofahamu
Akihitaji no. Za wauzaji anicheki nimtumie.