chiseked
Member
- Aug 20, 2019
- 52
- 44
Kila halmashauri ina by-laws zakeNahitaji kujua izo by laws
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila halmashauri ina by-laws zakeNahitaji kujua izo by laws
by-laws zinatungwa kwajiri ya wahusika katika specific area of jurisdiction na katika mchakato wa utungwaji wake wananchi wanahusika , inazingatia isikinzane na sheria mama za nchi kama Kuna hatua ilikiukwa unaweza ku rise objectionsBy law ni chanzo cha rushwa.
Kuna kila haja ya kuweka somo la sheria kuanzia shule za msingi mpaka vyuo vikuu,by-laws zinatungwa kwajiri ya wahusika katika specific area of jurisdiction na katika mchakato wa utungwaji wake wananchi wanahusika , inazingatia isikinzane na sheria mama za nchi kama Kuna hatua ilikiukwa unaweza ku rise objections