Msaada; Nahitaji kufahamu Sheria inayomruhusu Afisa mtendaji kata kutumia nguvu kukusanya michango ya maendeleo,

Msaada; Nahitaji kufahamu Sheria inayomruhusu Afisa mtendaji kata kutumia nguvu kukusanya michango ya maendeleo,

by-laws zinatungwa kwajiri ya wahusika katika specific area of jurisdiction na katika mchakato wa utungwaji wake wananchi wanahusika , inazingatia isikinzane na sheria mama za nchi kama Kuna hatua ilikiukwa unaweza ku rise objections
Kuna kila haja ya kuweka somo la sheria kuanzia shule za msingi mpaka vyuo vikuu,
 
Back
Top Bottom