Msaada: Nahitaji kufika Mwanza saa 7 mchana kesho na ndege zimejaa, kuna option nyingine yoyote?

Msaada: Nahitaji kufika Mwanza saa 7 mchana kesho na ndege zimejaa, kuna option nyingine yoyote?

Umechelewa Dakika 8. Saa 10 kamili costa ya kwanza inaondoka toka Ubungo Kibo to Kahama.

Costa ya Pili inaondoka saa 12 na nusu hadi moja kamili. Ubungo Kibo to Kahama.

Wahi ushuke Tinde kesho asubuhi, then unaunga Mwanza. Saa 7 mchana utakuwa Mwanza.
 
Chukua IT zinazoenda Rwanda,Burundi na Congo zinakuacha Tinde,zinapatikana sheli ya ya Oil com pale njia panda ya Keko,Jengo la Water front pale bandarini ndipo zinapotoka au misugusugu mizani yao ilipo njia ya Mlandizi na Ubungo pia unaweza zitega Kila la kheri.
Asante sana mkuu,ntajaribu hii
 
Chukua IT zinazoenda Rwanda,Burundi na Congo zinakuacha Tinde,zinapatikana sheli ya ya Oil com pale njia panda ya Keko,Jengo la Water front pale bandarini ndipo zinapotoka au misugusugu mizani yao ilipo njia ya Mlandizi na Ubungo pia unaweza zitega Kila la kheri.
Hizi IT zinaondoka mida Gani?nikienda pale keko saa 12 jioni naweza PATA?
 
Umechelewa Dakika 8. Saa 10 kamili costa ya kwanza inaondoka toka Ubungo Kibo to Kahama.

Costa ya Pili inaondoka saa 12 na nusu hadi moja kamili. Ubungo Kibo to Kahama.

Wahi ushuke Tinde kesho asubuhi, then unaunga Mwanza. Saa 7 mchana utakuwa Mwanza.
Una namba mkuu?
 
Usijidanganye kuhusu IT, zimepigwa pin kubeba abiria. Gari pekee unazoweza pata ni zile zinazoenda show room Mwanza. Nazo zinagombaniwa balaa.
 
Ila kuna mambo hua yanasikitisha sana....
Hapa mtu anaomba maelekezo utadhani wote tunatokea mpigamiti...🤔
 
Weka 1.8m mezani nikupeleke kwa usafiri wangu.
Tunaanza safari saa 1 usiku mpaka saa 3 asubuhi upo Mwanza. Mwendo rafiki kabisa.
 
Hizi IT zinaondoka mida Gani?nikienda pale keko saa 12 jioni naweza PATA?
Muda wowote zinatembea ila nyingi ni jioni kianzia saa 12 au saa 1usiku Kuna mdau hapo juu kasema zinepigwa pin IT Sina hakika maana siku zote haziruhusiwi ila zinabeba abiria ila iyo njia magari ni mengi sogea barabarani tu usafiri unapata.
 
Hizi IT zinaondoka mida Gani?nikienda pale keko saa 12 jioni naweza PATA?
Chief IT sikuhizi hawapakii abiria ila nenda pale Kimara korogwe utapata private ni nyingi sana. Mi nikiwa na haraka kwenda mkoa huwa naenda pale muda wowte unapata gari utawahi.
 
Wakuu nimekuja kwenu Kwa msaada, kama Kuna njia nyengine ya kufika Mwanza kabla ya saa 6 kesho mchana nisaidieni. Nina shughuli muhimu na ninahitajika niwepo muda huo.

Kama Kuna msaada wa option nyingine hata private car niko tayari pia kwenda pamoja na kuchangia chochote.

Asanteni.
Precision air inanafasi kuondoka Dar 09h05 kufika mwanza at 12h25. ina stop moja ila naona itakaa sana njiani;
Seat zimebaki zile za bei juu kwenye 465K kama utafika bei unaweza kuingia online ukabook
 
Siku hizi bus ni 24hrs labda kama unataka kutuonesha una maisha ya kuweza kupanda ndege
Wakuu nimekuja kwenu Kwa msaada, kama Kuna njia nyengine ya kufika Mwanza kabla ya saa 6 kesho mchana nisaidieni. Nina shughuli muhimu na ninahitajika niwepo muda huo.

Kama Kuna msaada wa option nyingine hata private car niko tayari pia kwenda pamoja na kuchangia chochote.

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom