Time is the UltimaJaribu jahazi
Hii inatoma usiku mkuu,inafika Mwanza usiku pia.Kuna basi 24 hrs , sa mbili usku unaamsha DSM , sa 4 asubh upo mwanza , Ila kiukweli ifikie hatua serikali iruhusu mashirika shindani ya ndege , Kwa mwanza abiria ni wengi mno wa ndege , Yani ndani ya masaa 24 hupati tiketi asa ndo nini
View attachment 2772705
Asante sana mkuu,ntajaribu hiiChukua IT zinazoenda Rwanda,Burundi na Congo zinakuacha Tinde,zinapatikana sheli ya ya Oil com pale njia panda ya Keko,Jengo la Water front pale bandarini ndipo zinapotoka au misugusugu mizani yao ilipo njia ya Mlandizi na Ubungo pia unaweza zitega Kila la kheri.
Nipo mikocheni,Dar es salaam.Upo wapi Kwa sasa!l?
Hizi IT zinaondoka mida Gani?nikienda pale keko saa 12 jioni naweza PATA?Chukua IT zinazoenda Rwanda,Burundi na Congo zinakuacha Tinde,zinapatikana sheli ya ya Oil com pale njia panda ya Keko,Jengo la Water front pale bandarini ndipo zinapotoka au misugusugu mizani yao ilipo njia ya Mlandizi na Ubungo pia unaweza zitega Kila la kheri.
Brother ndege zipo mbili tuu na zote zimejaa.Fursa kwa wafanyabiashara kuingia kwenye soko la usafiri wa anga kama ndege zinajaa lakini mabasi hayajai
Naunga mkono hojaUzi wa watu wa dar.
Una namba mkuu?Umechelewa Dakika 8. Saa 10 kamili costa ya kwanza inaondoka toka Ubungo Kibo to Kahama.
Costa ya Pili inaondoka saa 12 na nusu hadi moja kamili. Ubungo Kibo to Kahama.
Wahi ushuke Tinde kesho asubuhi, then unaunga Mwanza. Saa 7 mchana utakuwa Mwanza.
Nakutumia PMUna namba mkuu?
Yaaani Ukiona Uzi hauna location ujue tu ni dar mkuuNaunga mkono hoja
Siye wa Sekenke huku tutulizane
Muda wowote zinatembea ila nyingi ni jioni kianzia saa 12 au saa 1usiku Kuna mdau hapo juu kasema zinepigwa pin IT Sina hakika maana siku zote haziruhusiwi ila zinabeba abiria ila iyo njia magari ni mengi sogea barabarani tu usafiri unapata.Hizi IT zinaondoka mida Gani?nikienda pale keko saa 12 jioni naweza PATA?
Chief IT sikuhizi hawapakii abiria ila nenda pale Kimara korogwe utapata private ni nyingi sana. Mi nikiwa na haraka kwenda mkoa huwa naenda pale muda wowte unapata gari utawahi.Hizi IT zinaondoka mida Gani?nikienda pale keko saa 12 jioni naweza PATA?
Kimara korogwe au kibo ?Chief IT sikuhizi hawapakii abiria ila nenda pale Kimara korogwe utapata private ni nyingi sana. Mi nikiwa na haraka kwenda mkoa huwa naenda pale muda wowte unapata gari utawahi.
Precision air inanafasi kuondoka Dar 09h05 kufika mwanza at 12h25. ina stop moja ila naona itakaa sana njiani;Wakuu nimekuja kwenu Kwa msaada, kama Kuna njia nyengine ya kufika Mwanza kabla ya saa 6 kesho mchana nisaidieni. Nina shughuli muhimu na ninahitajika niwepo muda huo.
Kama Kuna msaada wa option nyingine hata private car niko tayari pia kwenda pamoja na kuchangia chochote.
Asanteni.
Wakuu nimekuja kwenu Kwa msaada, kama Kuna njia nyengine ya kufika Mwanza kabla ya saa 6 kesho mchana nisaidieni. Nina shughuli muhimu na ninahitajika niwepo muda huo.
Kama Kuna msaada wa option nyingine hata private car niko tayari pia kwenda pamoja na kuchangia chochote.
Asanteni.
Huu umasikini sasa,ndege mbona ni usafiri kama mwengine tu??Hongera kwa kupanda ndege
Wanakuja