Msaada: Nahitaji kujua duka la kuuza na kununua lulu(akoya) kwa Dar es Salaam

Msaada: Nahitaji kujua duka la kuuza na kununua lulu(akoya) kwa Dar es Salaam

Manton

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,163
Reaction score
1,523
Salam kwenu, wakuu. Naomba kujua mahali ambapo naweza kuuza lulu aina ya "akoya" kwa Dar es salaam, duka lilipo, ili nipate kufika kufanya biashara. Naomba msaada wa anwani yao.

Endapo kuna mtu anahitaji naye anaweza kununua.
 
Back
Top Bottom