Msaada: Nahitaji kukata leseni ya kusafirisha madini hasa dhahabu nje ya nchi

Msaada: Nahitaji kukata leseni ya kusafirisha madini hasa dhahabu nje ya nchi

Powder

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2016
Posts
4,977
Reaction score
6,635
Wakuu!
Naomba kujuzwa taratibu na sifa za kupata Leseni ya Super dealer....

Wapi inatolewa, natakiwa kuwa na sifa zzipi? Ni lazima niwe na Kampuni?

Leseni nnayotaka ni Super dealer ambayo itaniwezesha kusafirisha Gold nje ya nchi, Je! Nahitaji tena leseni nyingine kwa ajiri Manunuzi ya ndani? Au nikiwa na hiyo Super Dealer naweza kununua Local?

Sitaki kusafirisha madini kwa njia za Panya, nataka nikate Leseni ili nilipe Kodi Stahiki....

Karibu kwa ushauri au msaada.
 
Wakuu!
Naomba kujuzwa taratibu na sifa za kupata Leseni ya Super dealer....

Wapi inatolewa, natakiwa kuwa na sifa zzipi? Ni lazima niwe na Kampuni?

Leseni nnayotaka ni Super dealer ambayo itaniwezesha kusafirisha Gold nje ya nchi, Je! Nahitaji tena leseni nyingine kwa ajiri Manunuzi ya ndani? Au nikiwa na hiyo Super Dealer naweza kununua Local?

Sitaki kusafirisha madini kwa njia za Panya, nataka nikate Leseni ili nilipe Kodi Stahiki....

Karibu kwa ushauri au msaada.
nashauri uende TMAA au STAMICO ukiweza nenda ofisi za madini kanda utakutana na zone officers watakupatia maelekezo vizuri tu.binafsi ni gemstone dealer kanda ya kati na import na export gems kanda hii.
asante sana
 
Nenda upanga pale,kuna Ofisi za wizara ya madini Ukifika pale utapata taratibu zote.....

Ova
 
Super dealer ni master dealer license sahvi tena bei serikali wameshusha ya kukatia leseni
Ukiwa na hyo unafanya kila kitu kitu

Ova
 
nashauri uende TMAA au STAMICO ukiweza nenda ofisi za madini kanda utakutana na zone officers watakupatia maelekezo vizuri tu.binafsi ni gemstone dealer kanda ya kati na import na export gems kanda hii.
asante sana
Shukrani Mkuu! Na unahitaji Kuwa na Kampuni kupata hiyo leseni au hata Individuals wanaruhusiwa?
 
Super dealer ni master dealer license sahvi tena bei serikali wameshusha ya kukatia leseni
Ukiwa na hyo unafanya kila kitu kitu

Ova
Shukrani Mkuu, una idea yoyote ya bei ya sasa?
 
Super dealer ni master dealer license sahvi tena bei serikali wameshusha ya kukatia leseni
Ukiwa na hyo unafanya kila kitu kitu

Ova
Wameshusha tshs ngapi sasa?
 
Wameshusha tshs ngapi sasa?
Wameshusha sana,master dealer Ilikuwa zaidi ya Mln 2 sahv ni 700000/ ama pungufu ya kidogo ya hiyo mkuu
Mimi huwa natumia broker license tu
Ila gold huwa ina broker license lkn wanai categorise kwenye upande wa gold na metals zingine haiko pamoja na precious stones

Ova
 
Yeah! Nafahamu kuhusu Gold Detector, sio mbaya kama utaniunganisha na huyo Jamaa.
Mashine hyo badala ya kuchekecha dhahabu ya Mtoni kwa chekeche ile mashine inachekecha udongo ukatoa uweka na inakamata gold fasta
Kifusi cha tani 10 kinakatika kama upepo Yaani
Nta uppload picha yake uione

Ova
 
nashauri uende TMAA au STAMICO ukiweza nenda ofisi za madini kanda utakutana na zone officers watakupatia maelekezo vizuri tu.binafsi ni gemstone dealer kanda ya kati na import na export gems kanda hii.
asante sana
Mambo Ndugu nimekupm naomba uangalie
 
Back
Top Bottom