Msaada: Nahitaji kukata leseni ya kusafirisha madini hasa dhahabu nje ya nchi

Ok nimekusoma mkuu. Ivi una experience na wanunuzi wa mtandaoni mkuu? Sorry lakini nimeuliza nje ya mada pia kwenye uzi wa watu
 
Ok nimekusoma mkuu. Ivi una experience na wanunuzi wa mtandaoni mkuu? Sorry lakini nimeuliza nje ya mada pia kwenye uzi wa watu
Wanunuzi wa mtandaoni huwa Siyo wote wa kuwaamini,mtu anakuambia Tuma mzigo Ukifika ndy anakufanyia malipo....miaka ya nyuma walituliza sana....ila na wao tukuwambia watume hela tuwatumie mzigo nao wanasema nao watapigwa...hapo ndy Patamu
Ila nshawahi kuwasiliana sana na buyer nmoja wa mtandaoni Mpk mwisho wa siku akaja tz tukaonana physicaly

Ova
 
Nimekusoma mkuu. Na asante sana ubarikiwe
 
Mashine hyo badala ya kuchekecha dhahabu ya Mtoni kwa chekeche ile mashine inachekecha udongo ukatoa uweka na inakamata gold fasta
Kifusi cha tani 10 kinakatika kama upepo Yaani
Nta uppload picha yake uione

Ova
Okay! Basi sio Detector....ila naelewa pia machine unayozungumzia.
 
Huu uzi na wema asiuone utarudi bush nakutakia kila la kheri
 
Shukrani Mkuu, kwa Ku share na sisi kile unachojua....

So hiyo Machine ni Vibration? Na hapo ni full package kit?
Kwa sasa inauzwa bei gani?
Mara ya mwisho ya jamaa yangu aliinunua $2800,inakuwa complet set Yaani n'a Pump yake ya kutumia petrol na hos ya 2"

Ova
Hahahaa! Basi nishakuelewa Mkuu, si wengine tumeshazoea kina Mwajuma Ndala ndefu, hao masuper star sio zetu.
 
nashauri uende TMAA au STAMICO ukiweza nenda ofisi za madini kanda utakutana na zone officers watakupatia maelekezo vizuri tu.binafsi ni gemstone dealer kanda ya kati na import na export gems kanda hii.
asante sana


Msaada zaidi na muongozo juu ya hili ,tafadhari.
 
Msaada zaidi na muongozo juu ya hili ,tafadhari.
Mkuu kama upo Dar nakushauri uende office za Madini pale Upanga..

Kipindi kile kwa ushauri wa Wadau nilienda mwenyewe, nilipewa Info za kutosha, sema ndo wakashauri inabidi nisubiri Mh. Rais atapounda ile Bodi Mpya nirudi tena, coz may be Bodi mpya ikaja na Mabadiriko flani juu ya taratibu mbalimbali!

So binafsi najiandaa kwenda Mwezi ujao...
Kama wewe upo Dar sogea pale Upanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…