Msaada;NAHITAJI KUNUNUA NYUMBA KIGOMA-WILAYA KASULU

Msaada;NAHITAJI KUNUNUA NYUMBA KIGOMA-WILAYA KASULU

Mama Li

New Member
Joined
Jun 9, 2019
Posts
3
Reaction score
1
Habari zenu wakuu!yeyote anaeweza kuwa anafahamu/kuuza NYUMBA wilayani kasulu(kasulu mjini) naomba anifahamishe.nyumba kuanzia vyumba vitatu na iwe na choo cha ndani.Anifahamishe tu eneo aliko na mawasiliano yake anaweza kunipm.nitapata nafasi ya kutembelea eneo jumamosi na jumapili.Asanteni sana na majukum mema kwa Siku ya Leo.
 
Kwa nini ununue wakati unaweza jenga hiyo nyumba ya kununua in a month at fair cost kuliko kununua at a market price?
Nunua kiwanja sio nyumba, Tena Kasulu hata katikati ya mji naamini bado utapata kiwanja at reasonable price.

siku zote mtu akiuza nyumba in principle anachouza ni kiwanja. Utajikuta unanunua banda la kufugia mbuzi kwa Mil 200
 
Kwa nini ununue wakati unaweza jenga hiyo nyumba ya kununua in a month at fair cost kuliko kununua at a market price?
Nunua kiwanja sio nyumba, Tena Kasulu hata katikati ya mji naamini bado utapata kiwanja at reasonable price.

siku zote mtu akiuza nyumba in principle anachouza ni kiwanja. Utajikuta unanunua banda la kufugia mbuzi kwa Mil 200
Asante kwa ushauri!tutajaribu kulijadili hili.barikiwa
 
Back
Top Bottom