Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Na hili nalo mkalitizame
Naombeni mwongozo wa biashara yoyote halali ya kufanya kwa hapa Dar es salaam itakayoniwezesha kutengeneza 10k hadi 15k kwa siku.
Biashara iwe ya mtaji kati ya 100k na 200k na inayohitaji mazingira rafiki ya utendaji kazi, pia isiyo na changamoto nyingi
Nawasilisha
Naombeni mwongozo wa biashara yoyote halali ya kufanya kwa hapa Dar es salaam itakayoniwezesha kutengeneza 10k hadi 15k kwa siku.
Biashara iwe ya mtaji kati ya 100k na 200k na inayohitaji mazingira rafiki ya utendaji kazi, pia isiyo na changamoto nyingi
Nawasilisha