Msaada: Nahitaji kutengeneza 15,000 Tsh kwa siku

Unawajua wauza maduka kkoo wewe, uwape laki 4 yako uiweke rehani alafu utegemee wakurudishie nawakati wanamadeni bank madeni yamizigo ya mabosi, wachache Sana Kati ya kumi labda mmoja
 
Hahaha forex ni biashara ya msimu? Hahaha jamaa yangu unachekesha kinoma🤣🤣🤣🤣🤣
Ukiielewa Sana Forex huwezi kucheka sana anaposema biashara ya msimu.

1. Kwanza out of 7 days kuna Siku 4 Tu ambazo ni active for trading.

2. Kingine miezi ya June hadi August na mid December to mid January soko huenda kibla

Kwa haraka haráka active trading months ni kama 8 Tu afu Katika kila mwezi una siku 16 za kutrade actively na uombe pawe na volatility.

Ukilazimisha kutrade choppy au side ways markets ilimradi uonekane unafanya biashara mda wote utapoteza hela nyingi sana
 
Hamna steshenari yani watu mpaka wavuke barabara
 
Hiyo 100 K nunuwa kanzu na kofia ,,birika tembeza kahawa ya alkasusu.

Hutojutia.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…