angalia unapokaa mtaani au sehemu hyo unayoishi kuna nini kinakosekan alfu kinahitajika kwa sana au kitu au huduma utakayo ileta watu watakayo ipenda au kuinunua kiulaini
1 Kama ni nafaka mchele mahindi ww zama kijijini chukua mzgo
,2 au mavazi nguo au viatu vkali sana pea ata 5, ingia kariakoo chukua bidhaa ambayo ata kama mtu asipo nunua ataitazama mara mbilimbili
3 Kama kuna xhida ya kuku, bata , au mayai zama vijijini ndannindani chukua mzgo
4 Au anza biashara ya matunda nunua matunda ndiz, iparachichi, embe nk
Tafta ndoo , maji safi sahani kadhaa kakabati ka kiaina , benchi na location ambay watu hukutana san mfano bus stop au mbele y hotel ambap watu weng huend au kijiweni. anza kuuza matunda , ww unakat mtu anakaa kweny benchi anakul kweny sahan akimaliz anasep
5 kama upepo wakutembez sambusa,mayai, ice cream, jojo na pipi, karanga ufut a anza kazi
6 au mcheki mtu alieanzsha biashar wekeza fedha au partnership mta gawana kitakacho patikana mfno kam ni y chips ila anash y fedha mkubaliane au mama ntilie au wauza soko ukubaliane mwaga pesa
Natzan utapta kitu apo.....