Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k
Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,
Karibuni wadau.
KidumbuyoMwaisa
Kidumbuyo
Mashauri
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k
Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,
Karibuni wadau.
Majina ya kimaasai nayakubali sanaYa kimaasai ni haya:
Ole Sendeka
Ole midimu sirkon
Medutyeki
Metuyani
Loibanguti
Saitabau
Saimalye
Saiguran
Sikitu
NapeKiafrika kipoje toa mfano ...unataka kama
Zuma,
Tshangirai
Kaunda
Kagame
au
Sadiki
Salama
Rehema
Mawingu
Amani
Nuru
Furaha
Kumbe Mnana ni jina la kikurya!!!Chacha
Mwita
Gati
Bhoke
Wankuru
Wakuru
Matinde
Kinanka
Nyanswi
Maswi
Wambura
Robhi
Kimune
Kezia
Marwa
Wariobya
Matiku
Sokolo
Nyangi
Otaigo
Nyagwe
Mnana
Mwikwabe
Marema
Hayo ni majina ya Wakurya.
😂😂 Au sio, Dhambi hizi.Kaliempa hilo ni jina la kabila la kihaya.
Acha basi mkuu.😂😂 Au sio, Dhambi hizi.
Wapo wanakusoma wenye lugha yao. Hujawaona juu juu huko ?Acha basi mkuu.
Nyanzala, KalimanzilaRejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k
Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,
Karibuni wadau.
Yapo vizuriMajina ya kimaasai nayakubali sana
KE
Namelok
Nashpay
ME
Saita
Saitoti
Sanare
Letara
Lukumay
Loitarasakaki
Laizer
Lengai
Olenasha
Mollel
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k
Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,
Karibuni wadau.
Hadzabe siyo Bantu.Ukisikia mwana kulitafuta ndio haya sasamajina ya kibantu asili, pitia kwenye link hii