Msaada: Nahitaji Mganga atakayeweza kunisaidia kurudisha mali zangu zilizoporwa

Msaada: Nahitaji Mganga atakayeweza kunisaidia kurudisha mali zangu zilizoporwa

The Initiator huru

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
1,993
Reaction score
2,635
Wakuu nahitaji msaada Mganga wa kuunganishwa na mganga atakayeweza nisaaidia kurudisha mali zangu zilizoporwa, pamoja na kuwa adhibu wahusika, Malipo ni baada ya kazi (vitu kurudishwa na wahusika kufahamika)

Natanguliza Shukrani
 
Asee nilikuwa nawadharau Sana Hawa Watu had pale yalipo nikuta ofisin

Nilipelekwa Tanga sijui kwa msisi ukifika pale mkata unaingia ndan kidogo

Niliporud ofisin nakuta barua ya kuombwa msamaha WAKATI ndio mkosaji


Waganga wapo jamaniii
 
Duu wabongo mbona roho mbaya hivi? sasa Maisha yalivyo magumu hivi ulitaka tuka muibie nani kama si wewwe……!!!
 
Asee nilikuwa nawadharau Sana Hawa Watu had pale yalipo nikuta ofisin

Nilipelekwa Tanga sijui kwa msisi ukifika pale mkata unaingia ndan kidogo

Niliporud ofisin nakuta barua ya kuombwa msamaha WAKATI ndio mkosaji


Waganga wapo jamaniii





Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Handeni huko mzee kuna wachawi noma
 
Nenda handeni TANGA kwa wazigua kuna waganga wengi na wachawi wakutosha hata buku wanafika 😤😤😤ila hakuna maendeleo ni mapaka ya kutosha kumbe ni watu
 
Sawa njoo dm Ila vifaa vya kazi lazima ununue wewe mwenyewe
 
Ndugu usipokua makini na roho ya uvumilivu utapoteza ata hicho ulichobakiza,waganga wa ukweli woteee walikufa kipindi cha vita ya pili ya Dunia waliobaki wote waganga njaa.Mwachie M/mungu atafanya yake..
 
Wandile alishakufa na korona. Vitu vyote vilirudi
 
Sifa ya msingi ya mtu kuibiwa ni kuwa na hicho cha kuibiwa

A) Hongera kwa kumiliki mali
B) Pole kwa kuibiwa hizo mali
 
Back
Top Bottom