The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Handeni huko mzee kuna wachawi nomaAsee nilikuwa nawadharau Sana Hawa Watu had pale yalipo nikuta ofisin
Nilipelekwa Tanga sijui kwa msisi ukifika pale mkata unaingia ndan kidogo
Niliporud ofisin nakuta barua ya kuombwa msamaha WAKATI ndio mkosaji
Waganga wapo jamaniii
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Duh.....hatari..Asee nilikuwa nawadharau Sana Hawa Watu had pale yalipo nikuta ofisin
Nilipelekwa Tanga sijui kwa msisi ukifika pale mkata unaingia ndan kidogo
Niliporud ofisin nakuta barua ya kuombwa msamaha WAKATI ndio mkosaji
Waganga wapo jamaniii
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
ndioSeriously?
Acha ujinga mkuuDuu wabongo mbona roho mbaya hivi? sasa Maisha yalivyo magumu hivi ulitaka tuka muibie nani kama si wewwe……!!!