Kuna jamaa ana trend sana anaweza kukusaidia.Wakuu nahitaji msaada Mganga wa kuunganishwa na mganga atakayeweza nisaaidia kurudisha mali zangu zilizoporwa, pamoja na kuwa adhibu wahusika, Malipo ni baada ya kazi (vitu kurudishwa na wahusika kufahamika)
Natanguliza Shukrani
Ukifanikiwa utanipa sh ngap tukubaliane kwanzammegoma kunipa mawasiliano na mganga sio
Hao waganga nao wanaomba Mungu kabla hawajaanza kaziMganga Mungu tu mkuu....
imeandikwa wapi kuwa mungu ni mgangaHakuna mganga Zaid ya Mungu nimeenda Kwa waganga lakin watakuingiza matatizoni mwenyewe .
Mkuu mimi nina ishu ya kesi, je wanasaidia pia?Asee nilikuwa nawadharau Sana Hawa Watu had pale yalipo nikuta ofisin
Nilipelekwa Tanga sijui kwa msisi ukifika pale mkata unaingia ndan kidogo
Niliporud ofisin nakuta barua ya kuombwa msamaha WAKATI ndio mkosaji
Waganga wapo jamaniii
Kweli kabisa mkuu! Mungu ukimlilia kwa kwa haki na kweli anijibu fasta sana! Mimi kuna wajinga walichukua hela yangu wakakimbia nayo, nikamwachia Mungu apambane nao, cha moto wanakipata!Hakuna mganga Zaid ya Mungu nimeenda Kwa waganga lakin watakuingiza matatizoni mwenyewe .
Ngoja afe huyo kibaka alitaka mzee alale wapi aiseeKazi zote zinaishia pangani...
Kuna mzee alibiwa godoro na vibaka mtaani kwetu..
Akatuaga anaenda kwa wazee wake Pangani,aisee mjamaa alieiba alikufa kama utani vile...