Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

kitonger

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
1,164
Reaction score
1,533
Wakuu habari ya muda huu, ninahitaji mkopo wa laki 7 usio na riba na nitalipa kwa miezi 5(Kila awamu ni Tsh.140000 au zaidi).

Dhamana ni hati ya kiwanja nilichonunua 2019 kwa Tsh 1.3M..Nipo magomeni mwembechai. Aliye tayari karibu tuchat.

Namba zangu ni 0654102984.
 
Ndio maana nkaweka dhamana mkuu..ila kama Riba pia iwe riba nafuu..Maana nlijua ukiweka dhamana ya kitu au hati..Riba inakua excluded.
KWa nn hutaki kurudisha na Riba?
 
Back
Top Bottom