Msaada: Nahitaji tiba la limbwata

Msaada: Nahitaji tiba la limbwata

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,334
Reaction score
2,463
Wanaumee kamanda hapa nahitaji msaada wa haraka sana.

Nahisi manzi yangu kanitengeneza kwa watalamu, hivyo nataka nitegue ambaye anajua tiba anieleze hapa. Nimeanza kuhisi kutengenezwa kwa sababu nikianza kugombana naye tuu na Mashine inaamka! Kadiri navyojaa nyembe na kuzitema kwa kufoka foka na ndivyoo hivyo hivyo Mashine inakazaa kabisa, hivyo kupelekea kupoteza fokasi na nguvu.

Kamanda nahitaji msadaa mazee nisijae kwenye nyavu.
 
Sheria moja ya limbwata aliyefanyiwa atotambua kama amewekewa bali watu wako wa karibu ndio watajua lakini siyo wewe mtendwa naona kijana unaombea ufanyiwe limbwata ombi lako soon litaenda kufanyiwa kazi[emoji3][emoji23]
Ni kweli kabisa, aliyewekewa huwa hajitambui, ila watu wake wa karibu ndio wanajua sababu ya mambo yanavyotendeka. Nina kaka yangu huyo atakuwa kapigwa pini. Alipata kiinua mgongo akapata mwanamke huko Tanga. Hela zote zimeliwa na nyumba kauza. Kapata stroke karudi kijijini bila hata mia ya lapsum. Ndio kauguzwa huko na kutibiwa kiasili na kisasa. Akili ndio zimerudi ila anategemea ka pension ka mwezi tu
 
Sheria moja ya limbwata aliyefanyiwa atotambua kama amewekewa bali watu wako wa karibu ndio watajua lakini siyo wewe mtendwa naona kijana unaombea ufanyiwe limbwata ombi lako soon litaenda kufanyiwa kazi[emoji3][emoji23]

Wanasema ukiwekewa limbwata watu wanakushangaa na wewe unawashangaa [emoji23][emoji23]
 
Umeishapona mbona. Kama umeweza tambua kuwa umepigwa libwata bas jua umepona.
Hapo hakuna uchawi wala nn ni vile ww inaonekana mwili wako una enjoy sex zinazo anza kwa fuji fujo na ugomvi
 
Back
Top Bottom