Msaada: Nahitaji tiba la limbwata

Msaada: Nahitaji tiba la limbwata

Dawa yake ndogo Sana tafuta sehemu yenye shimo la wadudu chungu Kisha kojolea hapo ukiwa umepiga magoti hakikisha hakuna MTU anaye kuona ukifanya Hicho kitendo. Rudia kufanya hivo mara mbili Tatu utapona kama ilishindikana na upo dar nenda pale manzese bakhresa muulizie Jamaa mmoja ANAITWA JUMA ana Duka la dawa za asili atakusaidia.
 
Sheria moja ya limbwata aliyefanyiwa atotambua kama amewekewa bali watu wako wa karibu ndio watajua lakini siyo wewe mtendwa naona kijana unaombea ufanyiwe limbwata ombi lako soon litaenda kufanyiwa kazi[emoji3][emoji23]
Likiisha salio akichelewa kuli update lazima ujue

.nina experience nalo
 
Back
Top Bottom