Ni kweli kabisa, aliyewekewa huwa hajitambui, ila watu wake wa karibu ndio wanajua sababu ya mambo yanavyotendeka. Nina kaka yangu huyo atakuwa kapigwa pini. Alipata kiinua mgongo akapata mwanamke huko Tanga. Hela zote zimeliwa na nyumba kauza. Kapata stroke karudi kijijini bila hata mia ya lapsum. Ndio kauguzwa huko na kutibiwa kiasili na kisasa. Akili ndio zimerudi ila anategemea ka pension ka mwezi tuSheria moja ya limbwata aliyefanyiwa atotambua kama amewekewa bali watu wako wa karibu ndio watajua lakini siyo wewe mtendwa naona kijana unaombea ufanyiwe limbwata ombi lako soon litaenda kufanyiwa kazi[emoji3][emoji23]
Sheria moja ya limbwata aliyefanyiwa atotambua kama amewekewa bali watu wako wa karibu ndio watajua lakini siyo wewe mtendwa naona kijana unaombea ufanyiwe limbwata ombi lako soon litaenda kufanyiwa kazi[emoji3][emoji23]
Mnabaki mnashangaana๐๐๐Wanasema ukiwekewa limbwata watu wanakushangaa na wewe unawashangaa [emoji23][emoji23]