Msaada: naitaji kuwa rafiki Wa karibu na miss natafuta Wa JF

Msaada: naitaji kuwa rafiki Wa karibu na miss natafuta Wa JF

Miss natafuta tena unataka awe rafiki .. Ungeomba Namba take ya account au m PESA ningeweza kusema unaelekea kila KWA Uzi mkabu ivi
 
Nipe hela nikuunganishie maana tunakaa nae jirani kabisa pale Darslam....[emoji13] [emoji13]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
hivi mods wamelala au inakuaje post kama hii inaruhusiwa humu,hayo mambo yako private mfuate pm sio humu please .

Jiheshimu tunaamini umekua
Itakua angazako zimeingiliwa aiseeeeee......[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Maana sio kwa povu hili
 
Athari za mitandao unaweza kuta umdhanie ndie sie. Unaweza jenga fikra ya kibinti kimoja kizuri ukaja kukutana na njemba ina manyoya kama ngedere. Angalia mkuu usije ukawa disappointed na uhalisia.....
Muacheni mvulana ajilipue, alafu akakutane na dume shupa....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahah amigo
Wewe si ulikataaga kunifundisha un'gen'ge.. fursa zisingekuwa zinatupita.
Comrade.....
Kuna siku niliwahi kukariri mistari ya lugha ya bepari, ili nikazoze.......
Kilicho nikuta.....[emoji25] [emoji25] [emoji25]
Amigo hii lugha iloletwa na jahazi kweli ni shiderrrrrrrr
 
Comrade.....
Kuna siku niliwahi kukariri mistari ya lugha ya bepari, ili nikazoze.......
Kilicho nikuta.....[emoji25] [emoji25] [emoji25]
Amigo hii lugha iloletwa na jahazi kweli ni shiderrrrrrrr
Haha
Ukienda usiitumie yenyewe tu unafanya code switching na code mixing ili Kuongezea vinyama unapopelea haha uliharibu amigo
 
Haha
Ukienda usiitumie yenyewe tu unafanya code switching na code mixing ili Kuongezea vinyama unapopelea haha uliharibu amigo
Hahaaaahaaaaaa.......[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unamaanisha nisahau of course...... you know..... Okay...... Nakadhalika.... [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Tatizo hua nakwama nikiulizwa why.....[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hapo hua napotezea na, okay wait.....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Then napitia choo cha watoto..
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hahaaaahaaaaaa.......[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unamaanisha nisahau of course...... you know..... Okay...... Nakadhalika.... [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Tatizo hua nakwama nikiulizwa why.....[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hapo hua napotezea na, okay wait.....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Then napitia choo cha watoto..
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe ni kichaaa [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
"Unamaanisha nisahau of course...... you know..... Okay....
Tatizo hua nakwama nikiulizwa why.....
Hapo hua napotezea na, okay wait..."

Ushimen...doh doh nimecheka nyuma ya keyboard mpaka chozi linanitoka.... eti wakikuuliza "why" unasema "okay wait" hahaaa
 
Ndg zangu Amani ya bwana iwe nanyi, naomba niweke wazo langu na nia yangu ya muda mrefu inayochoma moyo wangu.

Nimekuwa nikiangalia kwa muda mrefu sana juu ya busara za Dada yetu maarufu kama MISS NATAFUTA Wa humu jf namna alivyo na hoja nzuri, anajitambua, mwenye mawazo mapana zaidi na mwenye uelewa Wa hali ya juu sana hivyo kuweza kunivutia mm na nimeamua rasmi kuanza urafiki Wa karibu na miss natafuta.

Kama ataona hii post naomba aje pm please au kama uko karibu nae naomba unisaidie kufikisha ujumbe wangu kwake.

Nakupenda sana miss natafuta.
Huyu jamaa atakuwa kaka yake na Abitoke, sio bure. Wote wembe uleule
 
"Unamaanisha nisahau of course...... you know..... Okay....
Tatizo hua nakwama nikiulizwa why.....
Hapo hua napotezea na, okay wait..."

Ushimen...doh doh nimecheka nyuma ya keyboard mpaka chozi linanitoka.... eti wakikuuliza "why" unasema "okay wait" hahaaa
Hii lugha inawenyewe aiseeeee.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mistaki malugha ya kua yananitoa jasho na uzee huu...[emoji17] [emoji17] [emoji17]
 
Back
Top Bottom