Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Intelligent comment, naumia kweli mkuu miss natafuta hata hajali mm ndo nimeandika hiyo threadHivi tuseme miss natafuta mwenyewe kashikwa na kigugumizi gani na mleta uzi huu?
Maana anajibu post tofauti na za mtoa mada!
Miss kama mtu amekuzimikia, ingilika. Atakayekuzika haumjui.
Kinachowavutia watu ni aina ya comments na thread zako unazo post humu. Yaan ni kavukavu, dongo kwa dongo.
Sasa kuna wanaume wengine wanahusudu demu wa kiivyo, wanaoenda stori zaidi hawaangalii sura yako upoupoje.
Mtu anayetangaza nia tena hadharani namna hii anastahili kusikilizwa, yawezekana akawa na nia njema, kakosa tu sehemu ya kuanzishia maongezi na wewe.
hivi mods wamelala au inakuaje post kama hii inaruhusiwa humu,hayo mambo yako private mfuate pm sio humu please .
Jiheshimu tunaamini umekua
Kwa huyo nenda tu mkapigane maana ameshatendwa hadi amechoka,ikishindikana nenda kwa lile li ndumbisa!Ndg zangu Amani ya bwana iwe nanyi, naomba niweke wazo langu na nia yangu ya muda mrefu inayochoma moyo wangu.
Nimekuwa nikiangalia kwa muda mrefu sana juu ya busara za Dada yetu maarufu kama MISS NATAFUTA Wa humu jf namna alivyo na hoja nzuri, anajitambua, mwenye mawazo mapana zaidi na mwenye uelewa Wa hali ya juu sana hivyo kuweza kunivutia mm na nimeamua rasmi kuanza urafiki Wa karibu na miss natafuta.
Kama ataona hii post naomba aje pm please au kama uko karibu nae naomba unisaidie kufikisha ujumbe wangu kwake.
Nakupenda sana miss natafuta.
Sijaelewa mkuuMimi naomba niku assist kupunguza jam hapa.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]