wingatereza
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,334
- 1,722
Panga muda wa kufanya ngono at least twice a week. Hii itabalance masomo na kazi then usingizi wakati wa lectures utakoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Really mkuu!!!? Maana Nina miaka mingi sijafanya ngono!!!Panga muda wa kufanya ngono at least twice a week. Hii itabalance masomo na kazi then usingizi wakati wa lectures utakoma
Habari za weekend wakuu!!
Mimi ni kijana miaka 25 ni mwanachuo pia nafanya kazi( biashara
Hali hii naichukia sana maana najikuta ile asubuhi nikiingia lecture nasinzia ila mwalimu akitoka usingizi unaisha
Kuhusu kazin ..muda mwingi nakua nipo active ila kuna wakati hata nikiwa kwenye gari najikuta nasinzia haijalishi ni mchana.asubuhi au jioni.
Pia wakuu ..tatizo lingine ni kwamba ..nikiwa chuo huwa nafikiria zaid huku kazini( biashara) ila nikiwa kazini najikuta nafikiria zaid chuo...
Msaada wenu tafadhali maana hali hii inanifanya nakosa umakini kiasi flan...pia inaniathiri kisaikolojia.
Nawasilisha.
Yalinikuta nikiwa CBE daktari wangu pale agakhan aliponipima alikuta hormone zimekaa vibaya akanishauri nitafute wa kumgonga na vile nilikuwa mlokolemlokole nikajikaza kisabuni nikamtokea mdada mmoja akanipa nikaponaReally mkuu!!!? Maana Nina miaka mingi sijafanya ngono!!!