Msaada ; najikuta nasinzia hovyo muda wa kazi

Msaada ; najikuta nasinzia hovyo muda wa kazi

Panga muda wa kufanya ngono at least twice a week. Hii itabalance masomo na kazi then usingizi wakati wa lectures utakoma
 
*Pima kiwango cha damu.
*piga zoezi asubuhi kila ukiamka
*punguza mafuta kwenye vyakula unavyokula, kula vyakula vya nafaka ambazo hazijakobolewa.
*usichelewe sana kulala usiku, hata kama unalala masaa matatu basi iwe saa6 mpaka saa9.

NB: kuna hali ya ubongo kutokupenda kitu na kuona kulala ni suluhisho, ukiwa antisocial na usiyependa kufundishwa lazima uandamwe na kulala lala
 
Wahi kwenye maimbezi mkuu. Utakuwa unasumbuliwa na pepo sio bure.
Habari za weekend wakuu!!
Mimi ni kijana miaka 25 ni mwanachuo pia nafanya kazi( biashara

Hali hii naichukia sana maana najikuta ile asubuhi nikiingia lecture nasinzia ila mwalimu akitoka usingizi unaisha

Kuhusu kazin ..muda mwingi nakua nipo active ila kuna wakati hata nikiwa kwenye gari najikuta nasinzia haijalishi ni mchana.asubuhi au jioni.

Pia wakuu ..tatizo lingine ni kwamba ..nikiwa chuo huwa nafikiria zaid huku kazini( biashara) ila nikiwa kazini najikuta nafikiria zaid chuo...

Msaada wenu tafadhali maana hali hii inanifanya nakosa umakini kiasi flan...pia inaniathiri kisaikolojia.

Nawasilisha.
 
Really mkuu!!!? Maana Nina miaka mingi sijafanya ngono!!!
Yalinikuta nikiwa CBE daktari wangu pale agakhan aliponipima alikuta hormone zimekaa vibaya akanishauri nitafute wa kumgonga na vile nilikuwa mlokolemlokole nikajikaza kisabuni nikamtokea mdada mmoja akanipa nikapona
 
punguza mawazo yan hayo upelekea unakosa mda mzuri wa kulala ndio mana unalala kwa machale sana
 
Back
Top Bottom