Na wakati bado unampenda? pagumu hapohuo ndio mpango ambao niliona unafaa, lakini nitaondokane bila watu kiniona?
Mkuu tupe mrejesho kama hutojaliHii thread ya kitambo nyie mnanichana leo
mbav zangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilikuaga nashangaa kusikia watu wanajiandalia makaburi yao nikawa nashangaa kweli!? Kumbe ndo kwa style hii? Mkuu andika mirathi kabisa ndugu zako wasije pata tabu badae..... Rip in advance
Hongera sana mkuuAna mimba ya miezi nane na nimeamua kumuoa kabisa
Mmh na yule aliyekufa Neema sijuiAna mimba ya miezi nane na nimeamua kumuoa kabisa
Keshatoa mrejesho..ana ujauzito wa miezi naneHuwa unatumia Kondomu?