Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

Utaishia shimo la tewa kabla ya wakati mkuu, change your mind
 
Muoe basi mkuu, hakuna aliebisha hauwez kumuacha.
 
Yaani anashushwa na magari halafu anakuambia akikufumania atajiua!!!Kaka hapo wewe unashida pia,straight mwambie tabia zake hazikuridhishi na kama haachi bora muachane magonjwa mengi siku hizi,halafu nadhani yeye hajafika kwako ila wewe ndio umefika,ni ngumu sana mwanamke akuonyeshe vituko live halafu bado uamini anakupenda,kumbuka tu uzuri sio tija ya kuwa na mahusiano na mtu.
 
ibra87 katika penzi zito na kahaba..teh teh!

Kwa nini ulianza mahusiano na mtu bila kujua angalau ABC kumhusu? Labda kama na wewe ulitaka hit, otherwise ulikosea.
daah hiyo headlin imetulia kuwekw kweny gazet
 
Nilikuaga nashangaa kusikia watu wanajiandalia makaburi yao nikawa nashangaa kweli!? Kumbe ndo kwa style hii? Mkuu andika mirathi kabisa ndugu zako wasije pata tabu badae..... Rip in advance
mbav zangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hama nyumba na umuondoe akilini kwako usiseme siwezi. Uambie moyo wako simtaki utamuacha afu utashangaa. .... Hakuna mkate mgum mbele ya chai.......

Nawasilisha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…