Nahitaji msichana wa kuwa na mahusiano nae ila sijui pa kuanzia. Sio kwamba sijui kutongoza ila naogopa kukataliwa. Muda mwingi wa maisha yangu nimeutumia kwenye masomo sana sasa baada ya kumaliza kidato cha sita ,uhitaji wa kuwa na msichana wa ku share nae feelings ndio ukawa mkubwa zaidi. Tatizo kila msichana nitakaye mfeel nikimuelezea anazingua. Nikaona nisiende direct bali ni anzishe friendship kwanza tufahamiane zaidi ,kwa kuwa niko kwenye movement sana kutokana na masomo basi nikiomba hata namba wanakataa.
Sasa hivi nimekuwa affected kisaikolojia kiasi kwamba na wa hate girls, kila mmoja naona atanikatalia. Nimestop kuongea nao na sina marafiki wa kike pia nilisoma kidato cha kwanza mpaka cha sita shule ya wavulana watupu. Sasa hivi nipo chuo mwaka wa pili nachukua engineering ila sijamueleza msichana yoyote ambaye namfeel kwa sababu i have a fear of rejection.
Huwa naumia sana wenzangu kila siku wanatembelewa na wapenzi wao room, wanatoka out weekend wana enjoy, wanapeana zawadi ila mi kwangu hiyo ni ndoto.
Sasa najiuliza kweni mimi nina kasoro gani kama money ipo, darasani nafanya vizuri tu na nina think on positive side of life.
Kwa sasa nina miaka 22 na hii hali ina affect my studies i just want somebody to remove my loneliness ,to share love and happiness, doing things together and to make me feel worthy living.
The greatest effect now is that i don't want to talk to girls for what they Have done for me. I am living hoping that one day a girl will come who understands me but time is running
Please guys help me.
Regards.
Thanx
Sasa hivi nimekuwa affected kisaikolojia kiasi kwamba na wa hate girls, kila mmoja naona atanikatalia. Nimestop kuongea nao na sina marafiki wa kike pia nilisoma kidato cha kwanza mpaka cha sita shule ya wavulana watupu. Sasa hivi nipo chuo mwaka wa pili nachukua engineering ila sijamueleza msichana yoyote ambaye namfeel kwa sababu i have a fear of rejection.
Huwa naumia sana wenzangu kila siku wanatembelewa na wapenzi wao room, wanatoka out weekend wana enjoy, wanapeana zawadi ila mi kwangu hiyo ni ndoto.
Sasa najiuliza kweni mimi nina kasoro gani kama money ipo, darasani nafanya vizuri tu na nina think on positive side of life.
Kwa sasa nina miaka 22 na hii hali ina affect my studies i just want somebody to remove my loneliness ,to share love and happiness, doing things together and to make me feel worthy living.
The greatest effect now is that i don't want to talk to girls for what they Have done for me. I am living hoping that one day a girl will come who understands me but time is running
Please guys help me.
Regards.
Thanx