kimbuzi
Senior Member
- Jul 31, 2013
- 153
- 54
Naomba mwenye ushauri please nimejikuta nakosa usingizi yaani ikifika saa kumi mara nyingine hata saa 9 najikuta usingizi wote umeisha na sio kwamba sikuchoka.
Nafanya mazoezi ya kutosha ili nipate usingizi lakini bado hali imeendelea kuwa hivi.
Msaada tafadhali
Nafanya mazoezi ya kutosha ili nipate usingizi lakini bado hali imeendelea kuwa hivi.
Msaada tafadhali